habar. nimesimamishwa kazi ila kila siku huwa tunapewa pesa ya chakula kazin pamoja na mshahara mwisho wa mwez. je bado nina haki ya kupata malipo niliyokuwanikipata hapo awali kwa sasa siko kazin ni. mwajiriwa wa
Haaaaaahaaaaaa!!! sasa ndugu yangu mbona jibu unalo tayari.Lets make t perfect HAUPO KAZINI HIVYO BASI HATA HAYO MADAI HAYAKUHUSU lakini kwa maelezo na ufafanuzi zaidi mwone mkubwa wako wa kazi.Pole ndugu yangu kwa maswaiba yaliyokupata mola akusaidie na urudi kazini mapema iwezekanavyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.