Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
yuko na ali kibaDada Jokate imekuwaje?
Wanawake wenye heshima wamekataa kuongozwa na single mother.Dada Jokate imekuwaje?
Yupo UVCCM anawafundisha mabinti kudangaDada Jokate imekuwaje?
Bernadeth Kunambi namkumbukaWadau hamjamboni nyote?
Lakini wasichana wa Songea, hawavumi lakini wamo ujue!Jojo alikua anaitendea haki hiyo nafasi.....hadi akanihamasisha.
Kwenye nini?? Sijakupata vema....Lakini wasichana wa Songea, hawavumi lakini wamo ujue!
Kugawa ndudeKwenye nini?? Sijakupata vema....
Inahusuana nini sasa na yeye kuwa kiongozi bora?Kugawa ndude
Mambo yakiitwa ya Siri lazima yabaki kuwa ya Siri. Kitu ambacho hutaki wengine wakione ni vyema kikabaki kuwa ni Siri. Kitu cha Siri kikijulikana, si Siri tena.Inahusuana nini sasa na yeye kuwa kiongozi bora?
We hautoi??
Ni mtu wenye CV chafu kabisaYupo UVCCM anawafundisha mabinti kudanga
Godwin Kunambi MP-Mlimba?!Kunambi?! Hakuna Kunambi mwingine aliyeko kwenye uteuzi?
- Utaratibu ni ule ule sio!
Haki kwa yale maneno aliyozungumza siku ile aaaaah wewe haki gani hiyo mbona unanifedhehesha hapa. Jokate hafai maswala ya uongozi yule hana hiyo haiba ya uongozi.Jojo alikua anaitendea haki hiyo nafasi.....hadi akanihamasisha.