GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Iran kwa Mwenzenu wa kubusu Vumbi maziko lini?Wakiristo wa Jf kimya meno nje. kwa sababu kachaguliwa miongoni mwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iran kwa Mwenzenu wa kubusu Vumbi maziko lini?Wakiristo wa Jf kimya meno nje. kwa sababu kachaguliwa miongoni mwao
Ana haibaaaa yaaa sinza??kwampalange??Haki kwa yale maneno aliyozungumza siku ile aaaaah wewe haki gani hiyo mbona unanifedhehesha hapa. Jokate hafai maswala ya uongozi yule hana hiyo haiba ya uongozi.
Yupo Bungeni na alikuwa mwanasheria wa ccmKunambi?! Hakuna Kunambi mwingine aliyeko kwenye uteuzi?
- Utaratibu ni ule ule sio!
Mipira yote ya Kibaiolojia inayopigwa Golini Kwake na Washambuliaji wa kila aina akiwemo Hayati Striker na Striker mwingine wa Bagamoyo ( ila Kawe Picollo huwa nakuwepo mara moja moja ) yote ilikuwa / ina gonga Besela tu. Hata huyu Striker mpya wa sasa wa Iringa / Njombe, wa enzi zake kutoka Kigoma ( My Radio ) na yule mwingine wa Msasani mtaa wa Kabila mita chache na Bahari ya Hindi nae wote nao kila wakipiga Mashuti yao Tukuka yanaishia tu kugonga Besela.Naona inabidi tufanye mpango wa kumuoa sasa. Ukimuona mwambie anipm tuyajenge 😄
kila nafsi itaonja mauti. Ukifa ukiwa nje ya uislam wewe ni khasaraIran kwa Mwenzenu wa kubusu Vumbi maziko lini?
😂😂😂 soon she will start to eat lemonsMimba sasa hivi.
HongeraWadau hamjambo nyote?
=======
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemteua Suzan Peter Kunambi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT).
Kamati hiyo imeketi chini ya Makamu Mwenyekiti wake ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi, leo Jumapili, Mei 19, 2024 katika kikao chake maalumu, kilichofanyika Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar na kufanya uteuzi kwa niaba ya halmashauri Kuu ya chama hicho.
Kila lenye heri kwakeWadau hamjambo nyote?
=======
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemteua Suzan Peter Kunambi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT).
Kamati hiyo imeketi chini ya Makamu Mwenyekiti wake ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi, leo Jumapili, Mei 19, 2024 katika kikao chake maalumu, kilichofanyika Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar na kufanya uteuzi kwa niaba ya halmashauri Kuu ya chama hicho.
Kwanini?😂😂😂 soon she will start to eat lemons