Suzan Peter Kunambi ateuliwa Katibu Mkuu UWT Taifa

Sawa komredi. Ila nauliza tu ni kwa nini kila kiongozi wa kitaifa wa chama akiteuliwa huwa anapewa sifa kedekede na makada wenzake kuwa kamati kuu imepatia kumteua ila akiachwa hakuna sababu za msingi zinazotolewa?

Akiteuliwa mpya naye anamwagiwa sifa pomoni.
 
Hivi kwanini mtu mwenye akili timamu akisha jiunga na hicho chama hua anakua kama amerukwa na akili..🤔
Yaani yanakuaga kama mataarihi....☹️
Mnatia kinyaa sana....😖
Mixxuuuu....😏
 
Mnatia aibu sana, halafu cha kushangaza wenyewe hamna aibu.

Halafu hiyo King of all social network ulipata copyright kutoka kwa original author Le Mutuz Mobimba Boma Ye? Au ndio maccm kama kawaida yenu kila kitu nyinyi mnakwapuwa tu?
 
HUUU UKOOO MUNGJ MWEMA WAMEANZA KUUKUMBUKA DAH AISEEE

MZEE KUNAMBI ALIIPAMBANIA SANA CCM ENZI ZAKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…