profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
Hizi gari mnazioverload no wonder zinaua sana engine.Katika gari ambazo mjapani alibuni kwa kutuliza kichwa ni hiyo gari..
1.ni kigari imara sana,kulinganisha na gari za level yake.
2.mafuta haili bali inanusa..
3.ni ajira nzuri kwa wenye kipato cha chini,ofisi ya uhakika,imeua soko la hilux.
4.inabeba mzigo mkubwa,kako ngangali sana
5.spea za kumwaga mtaani,
6.msio na ajira,hii ndio ofisi tosha kabisa,karibuniView attachment 2143681
Hivi ni ww huyu, wakuja kifua mbele ,na kijigari cha watoton,unasema eti mjapani alituliza kichwa ,vipi kuhusu mazda bongo ?? Moja kati ya vigari vya hovyo sana ,vikichoka havina kuhimili ndio maana kitaa watu wanaviuza bei za kutupa fanya utafiti upyaKatika gari ambazo mjapani alibuni kwa kutuliza kichwa ni hiyo gari..
1.ni kigari imara sana,kulinganisha na gari za level yake.
2.mafuta haili bali inanusa..
3.ni ajira nzuri kwa wenye kipato cha chini,ofisi ya uhakika,imeua soko la hilux.
4.inabeba mzigo mkubwa,kako ngangali sana
5.spea za kumwaga mtaani,
6.msio na ajira,hii ndio ofisi tosha kabisa,karibuniView attachment 2143681
Vipi umependa ulaji wake wa mafuta?Bongo Kuna mafundi wataoweza kukibadilisha kiwe SUV?
Upo siriaz kabisa uliyoandika kuhusu hicho kidubwasha?kwa kweli umejidhalilisha binafsi na wanasimba wote kwa ujumlaKatika gari ambazo mjapani alibuni kwa kutuliza kichwa ni hiyo gari..
1.ni kigari imara sana,kulinganisha na gari za level yake.
2.mafuta haili bali inanusa..
3.ni ajira nzuri kwa wenye kipato cha chini,ofisi ya uhakika,imeua soko la hilux.
4.inabeba mzigo mkubwa,kako ngangali sana
5.spea za kumwaga mtaani,
6.msio na ajira,hii ndio ofisi tosha kabisa,karibuniView attachment 2143681
Kabisa, mafundi wachonge bodi liwe kama la Harrier.Vipi umependa ulaji wake wa mafuta?
Well said mkuu Mimi nilishawahi kusema hizi gari zinafanya Kazi kubwa kuliko uwezo wake nilipingwa vikali.Hizi gari mnazioverload no wonder zinaua sana engine.