HSIRAJI
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 745
- 1,550
Sidhan kama unachoongea una experience nacho narudia tena sidhanHii gari haina tofauti na guta,yaani unakuwa kama unaendesha mkokoteni,siti zimekakamaa kama mabenchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhan kama unachoongea una experience nacho narudia tena sidhanHii gari haina tofauti na guta,yaani unakuwa kama unaendesha mkokoteni,siti zimekakamaa kama mabenchi
Nishaitumia hiyo,halafu vitasa vyake ni vibovu sana,kiufupi ni local sana hiyo gari hata AC yake ni afadhali ya feniSidhan kama unachoongea una experience nacho narudia tena sidhan
We ni mwanaume kweli?.. yaani unataka gari ikupapase papase ili iweje?..mwanaume mateso bana, kamata chuma hiyo ipe kazi uone, sio vigari vya kina mamaNishaitumia hiyo,halafu vitasa vyake ni vibovu sana,kiufupi ni local sana hiyo gari hata AC yake ni afadhali ya feni
Ila KWA Kazi Kazi ni gari poa Sana mkuu unahimili rough road sanaNishaitumia hiyo,halafu vitasa vyake ni vibovu sana,kiufupi ni local sana hiyo gari hata AC yake ni afadhali ya feni
Achana nae hajui kitu uyo mwanaume wa DarIla KWA Kazi Kazi ni gari poa Sana mkuu unahimili rough road sana
Hahahahhaah hapana mkuu Kila mtu na choice yake ila upande wangu naikubali Sana tena ukiwae na engine ya 2.0 v6Achana nae hajui kitu uyo mwanaume wa Dar
We sema huna option tu,wengi wenu uwezo ndio umeishia hapo, utasikia oooh hii gari ni ngumu sana ni roho ya paka,wakati vinawahenyesha kweli kweli,wenzenu bongo zinasoma 2021 nyie bado mko 1995We ni mwanaume kweli?.. yaani unataka gari ikupapase papase ili iweje?..mwanaume mateso bana, kamata chuma hiyo ipe kazi uone, sio vigari vya kina mama
SOLDHii ndo konde boy for everybodyView attachment 1913072View attachment 1913071View attachment 1913073View attachment 1913074
HapanaSOLD
Naitafuta siipatiHapana
Hii chuma mzee naipenda Sana KWA kwendea polin yan inaweza Sana kazNaitafuta siipati
Mkuu mm ninayo SUZUKI GRAND ESCUDO Ni balaa lingine naendaga shamba Mang'ola rough road inakata vumbi balaaHii chuma mzee naipenda Sana KWA kwendea polin yan inaweza Sana kaz
Hizi vtu KWA mtu ambae anayo aitunze Sana tena ikiwa ya 2.0 v6 ndo hutojuta kama wewe mpenda nguvu kwenye gariMkuu mm ninayo SUZUKI GRAND ESCUDO Ni balaa lingine naendaga shamba Mang'ola rough road inakata vumbi balaa
Sure Mkuu. Nimelifunga Carrier nikifika shamba mm Ni kubeba magunia ya vitunguu na nakunja sitiHizi vtu KWA mtu ambae anayo aitunze Sana tena ikiwa ya 2.0 v6 ndo hutojuta kama wewe mpenda nguvu kwenye gari
Hahahahaah aisee naskia raha hii gari kama naiiona ilivokuwa imetulia barabaran KWA mzgo wa vtunguuSure Mkuu. Nimelifunga Carrier niiifika shamba mm Ni kubeba magunia ya vitunguu na nakunja siti
Kwenye tope heavy au la mfinyanzi je 4wd ina nguvu sana ikipatiwa kiatu cha all-terrain/mud-terrain inatoboa kama full SUV's?Sure Mkuu. Nimelifunga Carrier nikifika shamba mm Ni kubeba magunia ya vitunguu na nakunja siti
Naam, All-Terrain pia inainyanyua juu kiasi, pia inaifanya ya kishua zaidi. Ndani ina nafasi kama LAND CRUISERKwenye tope heavy au la mfinyanzi je 4wd ina nguvu sana ikipatiwa kiatu cha all-terrain/mud-terrain inatoboa kama full SUV's?
4wd yake kwenye tope zito na udongo wa mfinyanzi umewahi kutoboa nayo?Naam, All-Terrain pia inainyanyua juu kiasi, pia inaifanya ya kishua zaidi. Ndani ina nafasi kama LAND CRUISER
Jamaa kakosa tu Khanga na bikini! Maana anachamba balaa.We ni mwanaume kweli?.. yaani unataka gari ikupapase papase ili iweje?..mwanaume mateso bana, kamata chuma hiyo ipe kazi uone, sio vigari vya kina mama
Ndio.4wd yake kwenye tope zito na udongo wa mfinyanzi umewahi kutoboa nayo?