Mimi na wewe mwenye porojo ni nani? Bei upigiwe simu uliweka tangazo LA biashara la nini? Dalali wahed!usikariri aina ya tangazo rafiki
kila tangazo linalengo lake
yani mnunuaji hayuko hapa kupiga porojo
anachukua number anapiga
huyo ndiyo mteja
we ni mpendwa mwandikaji
karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
hebu acha uhuni na uvivu we mzee, weka vitu hadharani ebooooh
Hahahahaha! We kweli ni kiogweee! 😁😁Madalari wa siku hizi wengi mmesoma mnatumia Kingereza kujificha km sio madalari
Bei?