Suzuki Jimney Wide

biznes_dealz

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2019
Posts
392
Reaction score
153
Wakuu poleni kwa usumbufu... Naomba kufahamishwa juu ya hii gari yenye cc 650... Nimeipenda kimuonekano ipo juu juu sijajua uimara wake na je kwa gari yenye cc ndogo kama hiyo naweza kwenda nayo mkoa bila wasiwasi?
 
Inakwenda bila shida. Mbona zinasafilishwa kwenda mpka Congo, ZAMBIA [emoji1268] Malawi [emoji1156]
 
Mkuu, naomba nikusahihishe. Suzuki Jimny na Suzuki Jimny Wide ni magari mawili 'tofauti'...
Yenye 650cc ni Suzuki Jimny wakati Jimny Wide ina 1300cc.
Yep. Inaweza kwenda mkoa wowote. Why not?
 
Na kwa uimara mkuu, je uimara wake ukoje?
Mkuu, naomba nikusahihishe. Suzuki Jimny na Suzuki Jimny Wide ni magari mawili 'tofauti'...
Yenye 650cc ni Suzuki Jimny wakati Jimny Wide ina 1300cc.
Yep. Inaweza kwenda mkoa wowote. Why not?
 
Mkuu, naomba nikusahihishe. Suzuki Jimny na Suzuki Jimny Wide ni magari mawili 'tofauti'...
Yenye 650cc ni Suzuki Jimny wakati Jimny Wide ina 1300cc.
Yep. Inaweza kwenda mkoa wowote. Why not?

Ni cc 1290...
Ni gari nzuri sn na ngumu....inahimili mazingira yetu ya kitanzania...
Ulaji wa mafuta ni mzurii...ina nusa...ila haina space kabisa....
Spare zake znasumbua kidogo kupatikana ila zipo madukani...ukifunga spare OG unasahau
 
N
Ni cc 1290...
Ni gari nzuri sn na ngumu....inahimili mazingira yetu ya kitanzania...
Ulaji wa mafuta ni mzurii...ina nusa...ila haina space kabisa....
Spare zake znasumbua kidogo kupatikana ila zipo madukani...ukifunga spare OG unasahau
Nataka kununua hii gari mkuu,Ina km 1150000 ni kwa mizunguko ya mjini tu.Bado kuna gari hapo kwa hizo km
 
Ni cc 1290...
Ni gari nzuri sn na ngumu....inahimili mazingira yetu ya kitanzania...
Ulaji wa mafuta ni mzurii...ina nusa...ila haina space kabisa....
Spare zake znasumbua kidogo kupatikana ila zipo madukani...ukifunga spare OG unasahau
Nataka kununua hii gari mkuu,Ina km 1150000 ni kwa mizunguko ya mjini tu.Bado kuna gari hapo kwa hizo km?
 
Wakuu poleni kwa usumbufu... Naomba kufahamishwa juu ya hii gari yenye cc 650... Nimeipenda kimuonekano ipo juu juu sijajua uimara wake na je kwa gari yenye cc ndogo kama hiyo naweza kwenda nayo mkoa bila wasiwasi?
Ulifanikiwa kununua hii gari kaka?
 
Nataka kununua hii gari mkuu,Ina km 1150000 ni kwa mizunguko ya mjini tu.Bado kuna gari hapo kwa hizo km?
Laki na 15?
Iyo bado mpya sana.. Angalia bomba la moshi, kama halijaanza kuwa na masizi mengi, kichukue.
 
Laki na 15?
Iyo bado mpya sana.. Angalia bomba la moshi, kama halijaanza kuwa na masizi mengi, kichukue.
Daah""nina mashaka nacho sana chief,Kisije kikanipa shida
 

Attachments

  • Screenshot_20200417-194344.png
    543.4 KB · Views: 34
Daah""nina mashaka nacho sana chief,Kisije kikanipa shida
Hii bado iko bomba.. Its good to go.. Kama wamekupa bei nzuri ichukue.. Ukibadili plug itakuwa inatoa maji.. Hii unaweza kaa nayo miaka mingine kumi kama utaendesha vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…