biznes_dealz
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 392
- 153
Ni aina hiyo hapoWeka picha na sisi wa Nanjilinji tuijue
Mkuu, naomba nikusahihishe. Suzuki Jimny na Suzuki Jimny Wide ni magari mawili 'tofauti'...
Yenye 650cc ni Suzuki Jimny wakati Jimny Wide ina 1300cc.
Yep. Inaweza kwenda mkoa wowote. Why not?
Kama ni mtunzaji mzuri. Unaeza ukazeeka nacho!Na kwa uimara mkuu, je uimara wake ukoje?
Iko imara.Na kwa uimara mkuu, je uimara wake ukoje?
Mkuu, naomba nikusahihishe. Suzuki Jimny na Suzuki Jimny Wide ni magari mawili 'tofauti'...
Yenye 650cc ni Suzuki Jimny wakati Jimny Wide ina 1300cc.
Yep. Inaweza kwenda mkoa wowote. Why not?
Inaweza kulivuta 'greda'?Iko imara.
Next QN?
Nataka kununua hii gari mkuu,Ina km 1150000 ni kwa mizunguko ya mjini tu.Bado kuna gari hapo kwa hizo kmNi cc 1290...
Ni gari nzuri sn na ngumu....inahimili mazingira yetu ya kitanzania...
Ulaji wa mafuta ni mzurii...ina nusa...ila haina space kabisa....
Spare zake znasumbua kidogo kupatikana ila zipo madukani...ukifunga spare OG unasahau
Nataka kununua hii gari mkuu,Ina km 1150000 ni kwa mizunguko ya mjini tu.Bado kuna gari hapo kwa hizo km?Ni cc 1290...
Ni gari nzuri sn na ngumu....inahimili mazingira yetu ya kitanzania...
Ulaji wa mafuta ni mzurii...ina nusa...ila haina space kabisa....
Spare zake znasumbua kidogo kupatikana ila zipo madukani...ukifunga spare OG unasahau
Nataka kununua hii gari mkuu,Ina km 1150000 ni kwa mizunguko ya mjini tu.Bado kuna gari hapo kwa hizo km?Iko imara.
Next QN?
Nataka kununua hii gari mkuu,Ina km 1150000 ni kwa mizunguko ya mjini tu.Bado kuna gari hapo kwa hizo km?Kama ni mtunzaji mzuri. Unaeza ukazeeka nacho!
Ulifanikiwa kununua hii gari kaka?Wakuu poleni kwa usumbufu... Naomba kufahamishwa juu ya hii gari yenye cc 650... Nimeipenda kimuonekano ipo juu juu sijajua uimara wake na je kwa gari yenye cc ndogo kama hiyo naweza kwenda nayo mkoa bila wasiwasi?
Laki na 15?Nataka kununua hii gari mkuu,Ina km 1150000 ni kwa mizunguko ya mjini tu.Bado kuna gari hapo kwa hizo km?
Daah""nina mashaka nacho sana chief,Kisije kikanipa shidaLaki na 15?
Iyo bado mpya sana.. Angalia bomba la moshi, kama halijaanza kuwa na masizi mengi, kichukue.
Hii bado iko bomba.. Its good to go.. Kama wamekupa bei nzuri ichukue.. Ukibadili plug itakuwa inatoa maji.. Hii unaweza kaa nayo miaka mingine kumi kama utaendesha vizuri.Daah""nina mashaka nacho sana chief,Kisije kikanipa shida
Ndio bado gari lipo.Nataka kununua hii gari mkuu,Ina km 1150000 ni kwa mizunguko ya mjini tu.Bado kuna gari hapo kwa hizo km?