Sven kuishtaki Simba FIFA kwa kushindwa kumlipa fedha zake

Sven kuishtaki Simba FIFA kwa kushindwa kumlipa fedha zake

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Poleni kwa msiba,

Aliyekuwa kocha wa Simba SC, Sven Vandebrock ameishtaki klabu ya simba fifa kwakuwa klabu hiyo imeshindwa kumlipa kiasi cha Tshs 101 milioni kama hela za mishahara na posho.

Mawakili tayari washaandaa mashtaka muda wowote mashtaka yatafikishwa makao makuu ya fifa pale jijini Zurich, Uswisi.

My take

MO na Simba acheni janja janja, njia ya muongo siku zote ni fupi.

Adjustments.jpg
 
Tafuteni hoja nyingine, hiyo siyo pesa ya Simba kushindwa kuilipa
 
Kwanza taarifa yako ni tetesi, halafu zaidi huyo kishingo alivunja mkataba, mpk hapo hii taarifa yako imeshalegea.
 
huyu dogo nikikumbuka kizaazaaa alichozua hadi magori kugombana na Efm wakampa masaa kuomba radhi la sivyo atashatkiwa sina hamu naye
Dogo alizusha kwamba wachezaji wa simba wamegoma hawajalipwa mishahara miezi miwili magori akachanganya madesa akadhani ni mwajiriwa wa efm kumbe efm walisoma kama tetesi chanzo ni yeye,ilikuwa timbwili zito mwisho wa siku dogo akaomba radhi sababu simba walitaka kumshtaki ili akathibitishe tuhuma zake
Naona siku hizi clouds wamemchukua wanapendezana naye maana huwa ananichekeshaga sana vi tetesii vyake
kanikumbusha ile ya shaffih dauda kutangaza simba kafungwa 2-0 na green warriors mechi ambayo hata haikuchezwa
siku ya mwisho kaomba msamaha wakati walitangaza hadi kwenye sports xtra yaani hao ndiyo manguli yanajiita eti senior sports journalists
 
Poleni kwa msiba,

Aliyekuwa kocha wa Simba SC, Sven Vandebrock ameishtaki klabu ya simba fifa kwakuwa klabu hiyo imeshindwa kumlipa kiasi cha Tshs 101 milioni kama hela za mishahara na posho.

Mawakili tayari washaandaa mashtaka muda wowote mashtaka yatafikishwa makao makuu ya fifa pale jijini Zurich, Uswisi.

My take

MO na Simba acheni janja janja, njia ya muongo siku zote ni fupi.

View attachment 1732656
Amdai aliyemleta , Simba haihusiki
 
huyu dogo nikikumbuka kizaazaaa alichozua hadi magori kugombana na Efm wakampa masaa kuomba radhi la sivyo atashatkiwa sina hamu naye
Dogo alizusha kwamba wachezaji wa simba wamegoma hawajalipwa mishahara miezi miwili magori akachanganya madesa akadhani ni mwajiriwa wa efm kumbe efm walisoma kama tetesi chanzo ni yeye,ilikuwa timbwili zito mwisho wa siku dogo akaomba radhi sababu simba walitaka kumshtaki ili akathibitishe tuhuma zake
Naona siku hizi clouds wamemchukua wanapendezana naye maana huwa ananichekeshaga sana vi tetesii vyake
kanikumbusha ile ya shaffih dauda kutangaza simba kafungwa 2-0 na green warriors mechi ambayo hata haikuchezwa
siku ya mwisho kaomba msamaha wakati walitangaza hadi kwenye sports xtra yaani hao ndiyo manguli yanajiita eti senior sports journalists
Hahahaha, asee
 
Back
Top Bottom