bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 767
- 1,083
Habari wanajamvi!
Kondomu si bidhaa ngeni kwa mwanaume mchezaji wa game za 6 kwa 6 anaejali afya yake.
Sasa linapokuja suala la kwenda kununua ni mambo gani huyazingatia?
Mimi yangu ni yafuatayo;
Nawe ongeza zako hapo chini🔥🔥
Kondomu si bidhaa ngeni kwa mwanaume mchezaji wa game za 6 kwa 6 anaejali afya yake.
Sasa linapokuja suala la kwenda kununua ni mambo gani huyazingatia?
Mimi yangu ni yafuatayo;
- Siwezi kuwa huru kununua ikiwa dukani Kuna mhudumu zaidi ya mmoja.
- Sinunui sehem ninayofahamika.
- Nikosa kurudi na bidhaa nyumbani😂🤣.
Nawe ongeza zako hapo chini🔥🔥