Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Kaharibikia na nywele zakee,na hiyo miwanii sijui nani hua anawadanganya kua mnapendezaaa!!!
Wengine wakivaa wanakua kama wachomelea mageti
Ha ha hapo pa kuchomelea mageti ni shiiida mtu ana vaa tinted ucku kwani kuna jua ushamba unawasumbua
Kifua kama ubao wa kamari.
Kaharibikia na nywele zakee,na hiyo miwanii sijui nani hua anawadanganya kua mnapendezaaa!!!
Wengine wakivaa wanakua kama wachomelea mageti
bonge la songi
jamaa wanaweza
l
Kifua kama ubao wa kamari.
hahahahahahaj umade my day
mhh, mbona kawa kama mzimu??
Kifua kama ubao wa kamari.
Kifua kama ubao wa kamari.
Kaharibikia na nywele zakee,na hiyo miwanii sijui nani hua anawadanganya kua mnapendezaaa!!!
Wengine wakivaa wanakua kama wachomelea mageti
Duuuuuu cc wachomelea mageti tumetoka wapiii HP ss jmn km c kutuonea
Viol halaf ile nyimbo mpya ya p square inachezwa sana Trace nooma sanaa
Hiyo miwani kama dokta wa kichocho