Swagga za Young D ni hatareee

Swagga za Young D ni hatareee

Kati ya madogo nisiowaelewa wanachofanya, huyu chalii ni namba moja.......
 
Hahahaaa,

Au Dwayne Wayne kutoka "A Different World"

Halafu tumbo nje bila six pack kama Rick Ross.

Lazima uchoke.

Afadhali huyu kifua kwanza bado mdogo,hivi Rick Ross hua anafikiria nini kuacha kifua wazi na nyonyo kubwa vile na tumbo ananiudhijee ,huko marekani si anaweza jibadilisha akawa na kifua kizuri tu kama kina Trey song
Mwanaume sura ukose, na kifua ukose khaa!!
 
huyu dogo nyimbo kali kutoka kwake labda ni ile ya kwenye tangazo la planet bongo
 
Mwanamuziki Young D akipafom na mwonekano wake wa hatareeee

10659224_1469760636644730_7156448669530335964_n.jpg

Huyu dogo anageza ughaibuni, hajui wenzie magasho,
 

Attachments

  • 1413058155375.jpg
    1413058155375.jpg
    18.7 KB · Views: 194
Halaf kwanini wakenya miziki yao sijui ipojee,ni michache sana mizuri,bora Uganda wanaimba vizurii wakenya sijawaelewa ngoma zao chache nzuri

Wakenya si mashairi.wao ni ile tu beat inabamba.ndo maana huwez muweka nonini na prof jay au mwanafa wakaimba pamoja.yaaan wao wanaimba pumba sana adi kuna mda unaona aibu kusikiliza
 
I like music, that's it! Mtu atembee uchi barabarani au awe chapombe firauni, shauri yake, I really don't care! Is up to him/her na familia yake! All I need, akimaliza kuteembea uchi barabarani, arudi studio na kutoa pini kali; maisha yanaendelea! I like the kid, Young D anajua... kila pini anayotoa imesimama; what else?! It's enough for me... hayo mengine ni yake, hayanihusu na hayatakaa yaje kunihusu!

You are a great thinker.
 
Back
Top Bottom