Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 412
Mkuu hivi vitu vigumu sana.....! Hiyo miaka ni mathematics tu sio biological bana! Sie tunalazimisha vitu tu ilimradi. Basi ingelikuwa hakuna msichana/mvulana kubalehe mpaka afikishe miaka hiyo, lakini mambo sio hivyo.Asante lakini binti ni under 18yrs na huyo bazazi mzee ni above 55 anakimbilia 60yrs sasa hapa hiyo haki ya mapenzi kwa under 18 ipo kweli hapo?? Ikiwa huyo bazazi anawatoto 4 wa mwisho anamiaka 24 kwa huyo binti amabye ni chini ya miaka 18 hapo pana mapenzi ya kweli??
mama kufika home akachukuwa madaftari ya bbinti kuangalia anamiezi miwili haja andika kitu kumuuliza kulikoni akawa kimya, baba mtu si ndio akaelezwa kachukua bakora kutandika kisawa sawa binti akasema kila kitu tangu walivyo anza na walipokuwa wanzkutania na kuwa akitoka ile asubui anachukua taxi anakwenda kushinda kwenye moja ya nyumba ya mshkaji hadi jioni ndio maana mama amemkuwa mkali anataka hii kesi iende polisi na walimu walioshikishwa nao waazibiwe.