YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Putin kwa sasa time is running out anawindwa ndani ya Russia na magenerali waliochoka vita waliozoea kula bata ulaya na marekani na familia zao kuwa kawavurugia starehe zao wanamuwinda kumuua watangaze kuwa jeshi limechukua hatamu muda sio mrefu sana Putin atauaawa na jeshi la Russia mark my words.
Ukisikia Putin kafa anytime from now hata Wasingizie kafa kwa ugonjwa uongo majenerali waliochoka vita wa Urusi wamemuua
I repeat again mark my words
Ukisikia Putin kafa anytime from now hata Wasingizie kafa kwa ugonjwa uongo majenerali waliochoka vita wa Urusi wamemuua
I repeat again mark my words