Belarus dictator Alexander
Lukashenko has been taken seriously ill for the second time this month in Moscow, reports say.
The 68-year-old was said to have been hospitalised in a 'critical' condition after collapsing during a trip to meet close ally Vladimir
Putin.
My take:
Putin hamuanini Raisi wa Belarus Ruksshenko taarifa zinasema walinzi wa Putin walimuwekea Sumu Rukashenko baada ya Putin kuambiwa Rukashenko ana mawasiliano ya siri na mahasimu wa Putin ndani ya Russia wakiongozwa na mkuu wa Jeshi wa sasa anayetaka kumpindua Putin sababu kachoka vita na alishawahi mwambia Putin kuwa na yeye ni mzazi kama wazazi wa watoto kibao wanaoendelea kufa Ukraine kwa vita ambayo ngumu kuiielezea kwa wazazi wao kuwa wamefia jeshini kwa vita ya kitu gani hasa Ukraine ? Wazazi wanejuwq wagumu kuekewa .
Putin na mkuu wake wa majeshi hawaivi na akipojua kuwa Rukashenko naye yyuko.karibu na mkuu wa majeshi akamwambia wampe sumu
Siku yeyote na Saa yeyote bendera ya Belarus mtu ukisikia inapepea nusu mlingoti na wimbo wa Taifa la Belarus ukiimbwa mfulululizo Tv na Redioni.mtu usishtuke
Au muda wowote mtu ukisikia Belarus wimbo wa Kikiristo wa parapanda Italia parapanda au wa kiislamu wa
La ilaha illa Allah Muhammad Rasool Allah jua Rukashenko kesha kata moto umebaki mwili mortuary