Acha uongo nyinyi mpo 30% ya population hivi ukiondoa tanga pwani, zanzibar ni mkoa upi ambao waislam ni wengi? Huu mkoa niliopo tu kuna radio stations zaidi ya 8 za kikristo wakati station ya Muslim ipo moja tu alafu unasema gospel haina wasikilizaji wengi? Ukitoa bongo flavor mziki unaofuata ni gospel hata msanii hata mmoja wa nyimbo za kiislam simjui"We" ukimaanisha wewe na nani?
Hapa bongo gospel siyo popular sana japo kuna few individuals wanaofanya vizuri, sababu Muslim ndio majority ya population tupo zaidi ya 60%
Kivipi? Kwani nyie ndio mnawatoa underground?Sipingi hilo they receive a lot of air play.secular only but when it comes to gospel there is equity hakuna kupendelea upande mmoja. Tz music hits because of Kenya. No Kenya no success in bongo music
Hapa tunazungumzia YouTube views. Kama hutaki kukubali kwamba hakuna wimbo wowote wa shusho na wengine ambao umeupiku wimbo wa mercy masika basi nyamaza .Kenya is a religious country and we support gospel music across the world. Even local gospel is doing very well here in Kenya. Unaposema wakenya hawajui kuimba sielewi wamaanisha nini maana hujui mkenya yeyote wewe. Kuzingua ndio unajua tu.
Gospel?Only mercy masika right!!!!???
Haya twende battle ya wasanii waliovusha nyimbo 2ml views kati ya bongo na hapo kenya.ujione ulivyo hujui.
Gospel?
Mercy masika hii hapaNaomba mtu yeyote alete screenshot ya wimbo wa Mercy Masika MWEMA hapa
60%? source?"We" ukimaanisha wewe na nani?
Hapa bongo gospel siyo popular sana japo kuna few individuals wanaofanya vizuri, sababu Muslim ndio majority ya population tupo zaidi ya 60%
Shusho nd,dawa yenu.hayup wa kumzid huy AfricaIko karibu 10M views. The most watched swahili gospel in East Africa if not in the whole world
Nipe wimbo mmoja wake ambao umefikisha 6M views kwa YouTube.Shusho nd,dawa yenu.hayup wa kumzid huy Africa
Views Wang,si kwamb unajua kuimba.otile nyimb Zak nying,hajafiki 1M+ viewers ,lkn anajua.Nipe wimbo mmoja wake ambao umefikisha 6M views kwa YouTube.
Ninang'ara una 5.7M views.
Unamaanisha nini unaposema hayupo wa kumzidi afrika?
Unawafahamu wanamuziki wa Nigeria wewe? Sinach Joseph
Ada
Jimmy the psalmist na wengineo?
list of Kenyan Gospel videos with 2M+(singles)
Mwema by Mercy Masika -9.4M
Nani kama wewe by Eunice Njeri-7.2M
Kibali by Florence Andenyi-6.1M
Nikupendeze by Mercy Masika-5M+
Narudisha by Gloria muliro
Ndio yako by Gloria muliro
Unatosha by Eunice Njeri
Ameni by Eunice Njeri
Shule yako by Mercy Masika
Mungu mkuu by Everlyn Wanjiru
e.t.c
Sista masifuri with different idNaomba mtu yeyote alete screenshot ya wimbo wa Mercy Masika MWEMA hapa
umenena vyema, hawa jirani zetu tangu ticha JK awafinyie ndani Mlima wao hawajawahi kutusamehe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa gospel gani unayojisifia tena huko kwenu, gospel yenu ipo kama parting songs,mfano pamela njoo kwa yesu mmmh, huku tz mkenya anayesikilizwa kidogo ni mercy masika, wengine hawajulikani huku, kina rose muhando na shusho hawasikiki sana now days sababu ya new faces like Goodluck , otherwise njoo Tz ufanye research my friend usidanganyike, tz Kuna varieties nyingi za songs na wasanii ni wengi, na wanaotoboa kila siku ni wengi hivyo market share kwa kila mwimbaji ni finyu sana, kuna waimbaji wengi sana wana low profile as live performers, unavyoiona bongo fleva ina saturate Kenya sababu ni kuwa na air time, lakini kama ikifanywa hivyo kwa gospel my friend it will be catastrophy hapo kwenu. Vile vile elewa population ya dini tz ni almost [emoji279] 0.5 hivyo kupewa air time bongo inakuwa siyo Kivile, otherwise njoo bongo ujionee kwa macho mwenyewe usikulupuke kwenye keyboard.