Swahili gospel YouTube views

Swahili gospel YouTube views

29 Sep 2018
Wimbo wa kuwafariji wote ktk ajali ya MV.NYERERE / Nitasubiri by Zabron Singers

Ni wimbo wa faraja kwa ndugu zetu walio ondokewa na wapendwa wao katika ajali ya MV.NYERERE ktk ziwa Victoria nchini Tanzania.

Source: zabron singers
 
"We" ukimaanisha wewe na nani?

Hapa bongo gospel siyo popular sana japo kuna few individuals wanaofanya vizuri, sababu Muslim ndio majority ya population tupo zaidi ya 60%
Acha uongo nyinyi mpo 30% ya population hivi ukiondoa tanga pwani, zanzibar ni mkoa upi ambao waislam ni wengi? Huu mkoa niliopo tu kuna radio stations zaidi ya 8 za kikristo wakati station ya Muslim ipo moja tu alafu unasema gospel haina wasikilizaji wengi? Ukitoa bongo flavor mziki unaofuata ni gospel hata msanii hata mmoja wa nyimbo za kiislam simjui
 
Sipingi hilo they receive a lot of air play.secular only but when it comes to gospel there is equity hakuna kupendelea upande mmoja. Tz music hits because of Kenya. No Kenya no success in bongo music
Kivipi? Kwani nyie ndio mnawatoa underground?
 
Goodluck Gosbert
Angel Benard
Poul Clemens
Joel Waga
Jesca Honore
Oscar Chilambo

Hawa ni baadhi ya gospel artists wanafanya tour mpaka Marekani kwa sasa
 
Si mpaka choir zinaruhusiwa humu,au waimbaji binafsi tu.
 
Hapa tunazungumzia YouTube views. Kama hutaki kukubali kwamba hakuna wimbo wowote wa shusho na wengine ambao umeupiku wimbo wa mercy masika basi nyamaza .Kenya is a religious country and we support gospel music across the world. Even local gospel is doing very well here in Kenya. Unaposema wakenya hawajui kuimba sielewi wamaanisha nini maana hujui mkenya yeyote wewe. Kuzingua ndio unajua tu.

Only mercy masika right!!!!???

Haya twende battle ya wasanii waliovusha nyimbo 2ml views kati ya bongo na hapo kenya.ujione ulivyo hujui.
 

Attachments

  • DFE5EAEC-A5CF-41FD-B615-CC50832773F7.png
    DFE5EAEC-A5CF-41FD-B615-CC50832773F7.png
    272 KB · Views: 35
List ya waimbaji 10 kutoka tz wenye views 2ml+ youtube.

1-christina shusho-nang'ara.
2-bahati bukuku-umewazidi wote
3-anjel benard-nikumbushe
4-goodluck gosbert-hauwezi kushindana
5-william yilima-uko wapi?
6-joel lwaga-yote mema
7-diana salakikya-kijito
8-christopher mwahangira-Mungu ni Mungu tu.
9-edson mwasambite-ni kwa neema tu.
10-paul clement-amenifanyia aman.
 
"We" ukimaanisha wewe na nani?

Hapa bongo gospel siyo popular sana japo kuna few individuals wanaofanya vizuri, sababu Muslim ndio majority ya population tupo zaidi ya 60%
60%? source?
 
list of Kenyan Gospel videos with 2M+(singles)
Mwema by Mercy Masika -9.4M
Nani kama wewe by Eunice Njeri-7.2M
Kibali by Florence Andenyi-6.1M
Nikupendeze by Mercy Masika-5M+

Narudisha by Gloria muliro
Ndio yako by Gloria muliro
Unatosha by Eunice Njeri
Ameni by Eunice Njeri
Shule yako by Mercy Masika
Mungu mkuu by Everlyn Wanjiru
e.t.c
 
Shusho nd,dawa yenu.hayup wa kumzid huy Africa
Nipe wimbo mmoja wake ambao umefikisha 6M views kwa YouTube.
Ninang'ara una 5.7M views.
Unamaanisha nini unaposema hayupo wa kumzidi afrika?
Unawafahamu wanamuziki wa Nigeria wewe? Sinach Joseph
Ada
Jimmy the psalmist na wengineo?
 
Nipe wimbo mmoja wake ambao umefikisha 6M views kwa YouTube.
Ninang'ara una 5.7M views.
Unamaanisha nini unaposema hayupo wa kumzidi afrika?
Unawafahamu wanamuziki wa Nigeria wewe? Sinach Joseph
Ada
Jimmy the psalmist na wengineo?
Views Wang,si kwamb unajua kuimba.otile nyimb Zak nying,hajafiki 1M+ viewers ,lkn anajua.
Kina Bahati Bukuku.sema nyimb zet,za gospel tumekosa airbaz kubw EAC
 
list of Kenyan Gospel videos with 2M+(singles)
Mwema by Mercy Masika -9.4M
Nani kama wewe by Eunice Njeri-7.2M
Kibali by Florence Andenyi-6.1M
Nikupendeze by Mercy Masika-5M+

Narudisha by Gloria muliro
Ndio yako by Gloria muliro
Unatosha by Eunice Njeri
Ameni by Eunice Njeri
Shule yako by Mercy Masika
Mungu mkuu by Everlyn Wanjiru
e.t.c

Fanya msanii mmoja na nyimbo moja itapendeza zaidi,maana hata kwetu ningefanya hivyo wangejirudia mara nne nne.
 
Wakenya kwa kelele hawajambo.
Huoni sisi mpaka tunawaimbia nyimbo za Amani kwa nchi yenu
 
Sasa gospel gani unayojisifia tena huko kwenu, gospel yenu ipo kama parting songs,mfano pamela njoo kwa yesu mmmh, huku tz mkenya anayesikilizwa kidogo ni mercy masika, wengine hawajulikani huku, kina rose muhando na shusho hawasikiki sana now days sababu ya new faces like Goodluck , otherwise njoo Tz ufanye research my friend usidanganyike, tz Kuna varieties nyingi za songs na wasanii ni wengi, na wanaotoboa kila siku ni wengi hivyo market share kwa kila mwimbaji ni finyu sana, kuna waimbaji wengi sana wana low profile as live performers, unavyoiona bongo fleva ina saturate Kenya sababu ni kuwa na air time, lakini kama ikifanywa hivyo kwa gospel my friend it will be catastrophy hapo kwenu. Vile vile elewa population ya dini tz ni almost [emoji279] 0.5 hivyo kupewa air time bongo inakuwa siyo Kivile, otherwise njoo bongo ujionee kwa macho mwenyewe usikulupuke kwenye keyboard.
umenena vyema, hawa jirani zetu tangu ticha JK awafinyie ndani Mlima wao hawajawahi kutusamehe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kila kitu wanataka kushindana tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom