Swahili translator from kenya

Swahili translator from kenya

MtuSomeone

Member
Joined
Dec 7, 2008
Posts
57
Reaction score
3
😕
An American preaching couple ( Reverend Mr & Mrs Stumbles) held a crusade
in Kiambu where Njoroge, their Kiswahili translator, did a real mess of the
whole event..... and meaning

Rev STUMBLE:
Everything comes from above.!!
Kamau: Vitu vyote huja juu juu,

STUMBLE: So you see my brothers and sisters,
Kamau:.......Basi ndugu zangu waangalieni akina dada,

STUMBLE: know perfectly well,
Kamau:.....Na muwajue vizuri sana,

STUMBLE: That all world affairs,
Kamau:.........Kwamba mapenzi yote duniani,

STUMBLE: are successfull only if held from above,
Kamau:.............Hufanikiwa tu ikiwa mmeshikana juu juu.

STUMBLE: Remember, faith is your pillar,
Kamau:...Kumbuka kuuamini mlingoti wako,

STUMBLE: Keep it first and above,
Kamau:..............uuweke kwanza juu juu.

STUMBLE: Let it run very deep and strong,
Kamau:...............Ndo kisha uukimbize ndani kabisa tena kwa nguvu,

STUMBLE:Should anybody want to test you,
Kamau:..............Mtu yeyote akitaka kukuonja,

STUMBLE:......will feel its work,
Kamau:...............Ataisikia kazi yake

STUMBLE: Then from deep inside you'll feel peace pouring out,
Kamau:........ndo kisha baadaye utasikia kutoka ndani sehemu moja ikimwagika nje,

STUMBLE: That peace will flow and enter even those you are with,
Kamau:.......Sehemu hiyo ita tiririka na kumwingia uliye naye,

STUMBLE: and that peace will remain.
Kamau:..............Na sehemu hiyo itabakia.

STUMBLE: Amen.
Kamau:............Huyo ni mwanamme ......!!
 
naona leo umeingia mapema vipi huko mambo yanakwendaje
 
hahaha, hii inachekesha. mlima migomba kule bukoba anataka kumfundisha masai na msukuma kukamua maziwa ya ng'ombe...wakati mwenzie ni kazi yake toka amezaliwa.kiswahili cha wakenya kwa kweli kinatia kigugumizi kukisikiliza, ukisikia mara moja tu hutamani usikie tena. wengi ambao tuko nje tunaona wanavyojifanya walimu wa kiswahili, lakini wakimwona mbongo tu anawasogelea huwa wanakuwa intimidated na wanachukia sana. hapohapo kuongea kiswahili kunaisha wanaanza kiingereza kwasababu wakiongea kiswahili tu wanaona hadia ibu wao wenyewe. tujenge shule nyingi za kuwafundisha kiswahili hapa bongo kabla ya ku merge.
 
😕
An American preaching couple ( Reverend Mr & Mrs Stumbles) held a crusade
in Kiambu where Njoroge, their Kiswahili translator, did a real mess of the
whole event..... and meaning

Rev STUMBLE:
Everything comes from above.!!
Kamau: Vitu vyote huja juu juu,

STUMBLE: So you see my brothers and sisters,
Kamau:.......Basi ndugu zangu waangalieni akina dada,

STUMBLE: know perfectly well,
Kamau:.....Na muwajue vizuri sana,

STUMBLE: That all world affairs,
Kamau:.........Kwamba mapenzi yote duniani,

STUMBLE: are successfull only if held from above,
Kamau:.............Hufanikiwa tu ikiwa mmeshikana juu juu.

STUMBLE: Remember, faith is your pillar,
Kamau:...Kumbuka kuuamini mlingoti wako,

STUMBLE: Keep it first and above,
Kamau:..............uuweke kwanza juu juu.

STUMBLE: Let it run very deep and strong,
Kamau:...............Ndo kisha uukimbize ndani kabisa tena kwa nguvu,

STUMBLE:Should anybody want to test you,
Kamau:..............Mtu yeyote akitaka kukuonja,

STUMBLE:......will feel its work,
Kamau:...............Ataisikia kazi yake

STUMBLE: Then from deep inside you'll feel peace pouring out,
Kamau:........ndo kisha baadaye utasikia kutoka ndani sehemu moja ikimwagika nje,

STUMBLE: That peace will flow and enter even those you are with,
Kamau:.......Sehemu hiyo ita tiririka na kumwingia uliye naye,

STUMBLE: and that peace will remain.
Kamau:..............Na sehemu hiyo itabakia.

STUMBLE: Amen.
Kamau:............Huyo ni mwanamme ......!!

Mkalimani mmoja alikuwa akitafsiri maneno ya mchungaji wa kizungu alipokuwa akiongea na waumini kanisani.

Mambo yalikuwa namna hii...

Mzungu: My name is Living Stone

Mkalimani: Anasema jina lake ni jiwe linaloishi

Mzungu: I came from Johanesburg.

Mkalimani: Ametokea katika mfuko wa Yohana.

Mzungu: I like Banana, tomatoes and to play dies

Mkalimani: Anapendelea kubanana, kutomasana na mchezo wa kufa.

Waumuni kusikia vile wakaanza kuguna na kutawanyika mmoja baada ya mwingine...
 
Back
Top Bottom