coach willy
Member
- Jul 14, 2023
- 22
- 64
Yani kikeke alivyo na cv kubwa na akili kubwa kule usafini anaenda kushusha kiwangoSalim Kikeke
Mwisho wa siku kuna mjinga ataibuka na kusema Diamond Platnumz ni mburula.
Nime guess tu mkuuYani kikeke alivyo na cv kubwa na akili kubwa kule usafini anaenda kushusha kiwango
Jana alikua shishi food anakula ugali samaki Leo wanasema kaja na precision air kutokea KilimanjaroNime guess tu mkuu
Big dady anakosaje radio yakutangaza mbona yupo vizuriWamewafukuza kaz ,sekione ,zungu ,big daddy
Vinaja Sasa HV wakoa mtani tu Wana ngaz. Sharubu wasijue la kufanya
Nafikiri sekioni ndio alikuwa na jina la kipindi cha mgahawaWamewafukuza kaz ,sekione ,zungu ,big daddy
Vinaja Sasa HV wakoa mtani tu Wana ngaz. Sharubu wasijue la kufanya
Hao uliwataja hawajafukuzwa kazi bali wako nyuma ya maikiWamewafukuza kaz ,sekione ,zungu ,big daddy
Vinaja Sasa HV wakoa mtani tu Wana ngaz. Sharubu wasijue la kufanya
Utampelekea ugali na mboga mezani?Yani kikeke alivyo na cv kubwa na akili kubwa kule usafini anaenda kushusha kiwango
Huyo sio level ya Wasafi, ungeniambia Azam ama Ikulu mawasiliano sawa.Salim Kikeke
Kwenye pesa hakuna level kama kapewa mpunga wa maana kwanini asifanye kaziHuyo sio level ya Wasafi, ungeniambia Azam ama Ikulu mawasiliano sawa.
Ulitaka aende wapi?Yani kikeke alivyo na cv kubwa na akili kubwa kule usafini anaenda kushusha kiwango