Swala la chadema kuwakomalia covid-19 halina mantinki pana zaidi ya kuendeshwa na wivu na mihemuko..

Swala la chadema kuwakomalia covid-19 halina mantinki pana zaidi ya kuendeshwa na wivu na mihemuko..

Nyumisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
13,499
Reaction score
19,292
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekaa na kutafakari kuhusu mnyukano unaoendelea kuwahusu hawa wabunge al-maarufu covid-19. Ikiwa uchaguzi wa 2020 uliolalamikiwa na chadema na watanzania wengi kwamba haukuwa wa haki na kupelekea zaidi ya 99% ya wabunge wa ccm kuteuliwa na katika mwendelezo huo huo wakapatikana wabunge 19 wa covid-19.

Hivyo sioni mantiki yoyote ya chadema kukomaa na hawa 19 na kuwaacha wale 99% ambao nao waliingia kimizengwe. Ningeshauri wapiganie zaidi kupata mfumo ambao utaweka mazingira yatakayopelekea uchaguzi huru na wa haki ambao utaafikiwa na vyama vyote na wadau wengine wa uchaguzi...
 
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekaa na kutafakari kuhusu mnyukano unaoendelea kuwahusu hawa wabunge al-maarufu covid-19. Ikiwa uchaguzi wa 2020 uliolalamikiwa na chadema na watanzania wengi kwamba haukuwa wa haki na kupelekea zaidi ya 99% ya wabunge wa ccm kuteuliwa na katika mwendelezo huo huo wakapatikana wabunge 19 wa covid-19. Hivyo sioni mantiki yoyote ya chadema kukomaa na hawa 19 na kuwaacha wale 99% ambao nao waliingia kimizengwe. Ningeshauri wapiganie zaidi kupata mfumo ambao utaweka mazingira yatakayopelekea uchaguzi huru na wa haki ambao utaafikiwa na vyama vyote na wadau wengine wa uchaguzi...
Kwani miongozo ya katiba inasemaje?
 
Matumizi mabaya ya kodi zetu, ukizingatia posho ya siku 1 tu kwa covid mmoja ni mshahara wa mtu hiyo ni posho tu, bado mengine.....waondoke bungeni "wakajiajiri"
 
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekaa na kutafakari kuhusu mnyukano unaoendelea kuwahusu hawa wabunge al-maarufu covid-19. Ikiwa uchaguzi wa 2020 uliolalamikiwa na chadema na watanzania wengi kwamba haukuwa wa haki na kupelekea zaidi ya 99% ya wabunge wa ccm kuteuliwa na katika mwendelezo huo huo wakapatikana wabunge 19 wa covid-19. Hivyo sioni mantiki yoyote ya chadema kukomaa na hawa 19 na kuwaacha wale 99% ambao nao waliingia kimizengwe. Ningeshauri wapiganie zaidi kupata mfumo ambao utaweka mazingira yatakayopelekea uchaguzi huru na wa haki ambao utaafikiwa na vyama vyote na wadau wengine wa uchaguzi...
Na ninyi muache wivu wa kuwakumbatia ilihali walishafukuzwa
 
IMG_20210425_082436.jpg
 
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekaa na kutafakari kuhusu mnyukano unaoendelea kuwahusu hawa wabunge al-maarufu covid-19. Ikiwa uchaguzi wa 2020 uliolalamikiwa na chadema na watanzania wengi kwamba haukuwa wa haki na kupelekea zaidi ya 99% ya wabunge wa ccm kuteuliwa na katika mwendelezo huo huo wakapatikana wabunge 19 wa covid-19. Hivyo sioni mantiki yoyote ya chadema kukomaa na hawa 19 na kuwaacha wale 99% ambao nao waliingia kimizengwe. Ningeshauri wapiganie zaidi kupata mfumo ambao utaweka mazingira yatakayopelekea uchaguzi huru na wa haki ambao utaafikiwa na vyama vyote na wadau wengine wa uchaguzi...
Polee mkuu
download (2).jpg
 
Kwasauti ya DC; Tuliza mat...... Wewe. Tuliza mat.
 
"Tuliza matako yako weweee,tuliza matakooo,tuliza matakooo, nakuambia weweee, weee mbona unataka kujifanya unajua?."

Kasesela, Mkuu Wa Wilaya Iringa.
 
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekaa na kutafakari kuhusu mnyukano unaoendelea kuwahusu hawa wabunge al-maarufu covid-19. Ikiwa uchaguzi wa 2020 uliolalamikiwa na chadema na watanzania wengi kwamba haukuwa wa haki na kupelekea zaidi ya 99% ya wabunge wa ccm kuteuliwa na katika mwendelezo huo huo wakapatikana wabunge 19 wa covid-19. Hivyo sioni mantiki yoyote ya chadema kukomaa na hawa 19 na kuwaacha wale 99% ambao nao waliingia kimizengwe. Ningeshauri wapiganie zaidi kupata mfumo ambao utaweka mazingira yatakayopelekea uchaguzi huru na wa haki ambao utaafikiwa na vyama vyote na wadau wengine wa uchaguzi...

Cdm kila siku wanapigania huo mfumo, na sasa wamesimama kidete kuwatoa waliokuwa wanachama wao kwenye uvunjaji wa katiba. Labda ww ndio uanze sasa kupigania huo mfumo.
 
Matumizi mabaya ya kodi zetu, ukizingatia posho ya siku 1 tu kwa covid mmoja ni mshahara wa mtu hiyo ni posho tu, bado mengine.....waondoke bungeni "wakajiajiri"
Sasa mkuu vipi wale wengine wa fisiemu walioingia kimagumashi kwa uchafuzi mkuu wa 2020, wao hawatumii pesa za walipakodi....nililenga kutaka hili swala liangaliwe kwa mlengo mpana zaidi. Tuseme umewaondoa hao 19, what next? hao wengine wa kuteuliwa na fisiemu waendelee kufaidi keki ya taifa huku sisi chadema tukisheherekea kuondolewa covid-19, seriously!?
 
"Tuliza matako yako weweee,tuliza matakooo,tuliza matakooo, nakuambia weweee, weee mbona unataka kujifanya unajua?."

Kasesela, Mkuu Wa Wilaya Iringa.
Mods, angalieni kuna mataahira kibao wameshavamia jukwaa...
 
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekaa na kutafakari kuhusu mnyukano unaoendelea kuwahusu hawa wabunge al-maarufu covid-19. Ikiwa uchaguzi wa 2020 uliolalamikiwa na chadema na watanzania wengi kwamba haukuwa wa haki na kupelekea zaidi ya 99% ya wabunge wa ccm kuteuliwa na katika mwendelezo huo huo wakapatikana wabunge 19 wa covid-19. Hivyo sioni mantiki yoyote ya chadema kukomaa na hawa 19 na kuwaacha wale 99% ambao nao waliingia kimizengwe. Ningeshauri wapiganie zaidi kupata mfumo ambao utaweka mazingira yatakayopelekea uchaguzi huru na wa haki ambao utaafikiwa na vyama vyote na wadau wengine wa uchaguzi...
Wewe ni yupi kati ya hao 19?
 
Kama kiongozi, hata kwenye familia... ni vema kuhakikisha uamuzi unatekelezwa.
 
Back
Top Bottom