William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Kwani haraka ya nini mkuu, umeambiwa jumatatu mtapewa ufafanuzi wa kisheria na vifungu vya kimkataba vilivyoifanya kamati imbakize kwa waajiri wake kulingana na mkataba aliosaini, baada ya hapo ndio mtajua wenyewe mwende mnakotaka kwenda na mteja wenuUbaya Tff wametupa taarifa nusu nusu na sizani Kama Ni sawa.
Mbona CAF wao hutoa maamuzi yote hadharani
Kama wanasheria nguli tunategemea kuuona msingi wa maamuzi wa Tff ili tuchukue hatua staili. Tunaona kabisa hawana mpango wa kuuweka uamuzi wazi ili wakongwe wa Sheria waupitie wajue wapi Fei alikosea.
Na Kama alikosea Tff ilitakiwa imuadhibu Feitoto Kama kiulipa Yanga gharama za usumbufu wa kuendesha kesi na kuwalipa wao gharama za kesi bila kujali Yanga waliomba Nini kwani Ni dhaili wameingia gharama kushugulikia Hilo.
Lkn wamefanya maamuzi ili kumtisha siku hizi tatu ili aombe msamaha na aogope.
Nasisitiza nasubiri uamuzi kamili. Ili tuone.
Mwanasheria Nguli unayeandika "dhaili" umesoma chuo gani Kanjanja mkubwa wewe.Ubaya Tff wametupa taarifa nusu nusu na sizani Kama Ni sawa.
Mbona CAF wao hutoa maamuzi yote hadharani
Kama wanasheria nguli tunategemea kuuona msingi wa maamuzi wa Tff ili tuchukue hatua staili. Tunaona kabisa hawana mpango wa kuuweka uamuzi wazi ili wakongwe wa Sheria waupitie wajue wapi Fei alikosea.
Na Kama alikosea Tff ilitakiwa imuadhibu Feitoto Kama kiulipa Yanga gharama za usumbufu wa kuendesha kesi na kuwalipa wao gharama za kesi bila kujali Yanga waliomba Nini kwani Ni dhaili wameingia gharama kushugulikia Hilo.
Lkn wamefanya maamuzi ili kumtisha siku hizi tatu ili aombe msamaha na aogope.
Nasisitiza nasubiri uamuzi kamili. Ili tuone.
Hilo haliwezi fanyika. Wameweka mazingira tu ili fei aongee na Yanga. Jumatatu Tff hawawezi kutoa taarifa kamili kwenye uamuzi wake kwa uma Bali taarifa za Siri.Kwani haraka ya nini mkuu, umeambiwa jumatatu mtapewa ufafanuzi wa kisheria na vifungu vya kimkataba vilivyoifanya kamati imbakize kwa waajiri wake kulingana na mkataba aliosaini, baada ya hapo ndio mtajua wenyewe mwende mnakotaka kwenda na mteja wenu
Ata jiwe na PhD alishindwa kuongea kingereza vizuriMwanasheria Nguli unayeandika "dhaili" umesoma chuo gani Kanjanja mkubwa wewe.
Aongee na yanga nini sasa, Yaani wewe unafikiria yanga bado wanapoteza muda kwenye mambo ya feisal labda yeye ndiye akawabembeleze yanga wayamalize na sio yanga kumfata feisal, kama aligoma kipindi kile kesi aijaenda mbele ya kamati kwa sasa hivi iyo room haipo tena aende anakojua atapata haki yakeHilo haliwezi fanyika. Wameweka mazingira tu ili fei aongee na Yanga. Jumatatu Tff hawawezi kutoa taarifa kamili kwenye uamuzi wake kwa uma Bali taarifa za Siri.
Aliyewaita mbumbumbu aliwaza mbali sana.Mbona mmeumizwa sana na hukumu hii nyie mbumbumbu
Mtu mwenye hoja huwa hakimbilii kuangalia makosa ya kiuandishi,ungejikita kupangua hoja yake ungeeleweka zaidi.Mwanasheria Nguli unayeandika "dhaili" umesoma chuo gani Kanjanja mkubwa wewe.
Ni kama aliyewaita Manyani na yeye alikuwa sahihi kabisa.Aliyewaita mbumbumbu aliwaza mbali sana.
We ni nani, una maslahi gani na Fei-mtotoUbaya Tff wametupa taarifa nusu nusu na sizani Kama Ni sawa.
Mbona CAF wao hutoa maamuzi yote hadharani
Kama wanasheria nguli tunategemea kuuona msingi wa maamuzi wa Tff ili tuchukue hatua staili. Tunaona kabisa hawana mpango wa kuuweka uamuzi wazi ili wakongwe wa Sheria waupitie wajue wapi Fei alikosea.
Na Kama alikosea Tff ilitakiwa imuadhibu Feitoto Kama kiulipa Yanga gharama za usumbufu wa kuendesha kesi na kuwalipa wao gharama za kesi bila kujali Yanga waliomba Nini kwani Ni dhaili wameingia gharama kushugulikia Hilo.
Lkn wamefanya maamuzi ili kumtisha siku hizi tatu ili aombe msamaha na aogope.
Nasisitiza nasubiri uamuzi kamili. Ili tuone.
Unataka ithibitike mara ngapi labda, kwani akuwasilisha slip za benk alizoweka izo pesa mil.112 mbele ya kamati au unawaza nini? Au kuna kamati nyingine inakaa kesho kuendelea na shauri? Ukiwa mweupe kichwani ni mweupe tuKwa sasa yaani leo jumapili,Fei Toto ni mchezaji halali wa utopolo.
Lakini,iwapo atathibitisha kuwa amelipa 100M na angalau mishahara yake ya miezi mitatu,basi atakuwa huru na anaweza kusajiliwa club yoyote.
Kama kuna upande wowote haujaridhika na hukumu,basi nafasi ya rufaa CAS ipo wazi.
Mwisho wa hukumu.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Jinyonge basi mbona kesi ya Morrisoni mlishangilia au Tff ilikuwa nyingine na hii ni nyingine? Wanasiasa ile kesi awakuingilia isipokuwa hii ndio wameingilia kwakuwa mmechezea za usoTFF wanaingiliwa na wanasiasa, tena yupo mmoja ndie mjuaji zaidi ya wote, TFF wamezoea kuingiliwa na wanasiasa mara nyingi, ndio maana hata maamuzi ya ile kesi ya Manara na Hersi bado kimya mpaka leo, tuna shirikisho la mpira wa miguu la kihuni sana.
Mifano ya Marehemu ya nini Sasa?Ata jiwe na PhD alishindwa kuongea kingereza vizuri
Unavyojitutumua utafikiri ni miongoni mwa watoa maamuzi kule viunga vya kidimbwi.. Utopolonyo kazi mnayo!!!Aongee na yanga nini sasa, Yaani wewe unafikiria yanga bado wanapoteza muda kwenye mambo ya feisal labda yeye ndiye akawabembeleze yanga wayamalize na sio yanga kumfata feisal, kama aligoma kipindi kile kesi aijaenda mbele ya kamati kwa sasa hivi iyo room haipo tena aende anakojua atapata haki yake
Wakati Yanga inashindwa kesi dhidi ya Morrison TFF ilikuwa nyingine? Hao wanasiasa hawakuwepo? Nyie kwenu maamuzi yangekuwa ya haki kama Yanga ingeshindwa kesi!! Yule dogo atapotea kama ataendelea kufuata ushauri wa kijinga!! Toeni hela mmpewe mchezaji hakuna vya bure!TFF wanaingiliwa na wanasiasa, tena yupo mmoja ndie mjuaji zaidi ya wote, TFF wamezoea kuingiliwa na wanasiasa mara nyingi, ndio maana hata maamuzi ya ile kesi ya Manara na Hersi bado kimya mpaka leo, tuna shirikisho la mpira wa miguu la kihuni sana.
Wale walioitwa hilo jina, walikuwa ni mashabiki wachache sana! Na kwa taarifa yako hawawakilishi mamilioni ya mashabiki wa Yanga waliojaliwa kila aina ya busara, hekima, na uvumilivu.Ni kama aliyewaita Manyani na yeye alikuwa sahihi kabisa.