Swala la Feitoto ni PROPAGANDA iliyopangwa kimkakati

Swala la Feitoto ni PROPAGANDA iliyopangwa kimkakati

Southern Highland

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
14,938
Reaction score
25,405
Sote hatuna uhakika humu ila kwa namna navyoelewa siasa za mpira wa Bongo huyu Feisal haondoki Yanga sasa hivi.

Haya mambo yanayoendelea mitandaoni sijui its done deal hakuna kitu kama icho. Hii ni propaganda imepangwa na wapinzani kujaribu kuitoa Yanga kwenye Focus kuelekea game na Azam hapo kesho.

Puuzieni Wananchi sisi ndio tunaelewa Feisal bado yupo sana tu Focus kwenye game yetu na haohao Azam.

Hakuna kitu wapinzani wanapenda kama kutuona tunababaika na mambo kama haya ambayo kwa Yanga ni madogo mno.

#Daimambelenyumamwiko
 
Sote hatuna uhakika humu ila kwa namna navyoelewa siasa za mpira wa Bongo huyu Feisal haondoki Yanga sasa hivi.

Haya mambo yanayoendelea mitandaoni sijui its done deal hakuna kitu kama icho. Hii ni propaganda imepangwa na wapinzani kujaribu kuitoa Yanga kwenye Focus kuelekea game na Azam hapo kesho.

Puuzieni Wananchi sisi ndio tunaelewa Feisal bado yupo sana tu Focus kwenye game yetu na haohao Azam.

Hakuna kitu wapinzani wanapenda kama kutuona tunababaika na mambo kama haya ambayo kwa Yanga ni madogo mno.

#Daimambelenyumamwiko
Eti mkakati
Screenshot_20221224-065349.jpg
 
KUHUSU FEISAL SALUM ABDALLAH

Kwanza ni KWELI pasi na shaka yoyote kwamba Feitoto amewapa NOTISI klabu yake ya Yanga SC ya kuvunja mkataba nao.

Feisal alikuwa na mkataba na Yanga SC (ambao BIN KAZUMARI imeuona) uliosainiwa tarehe 10 Agosti 2020 ukichukua nafasi ya ule uliosainiwa 2018. Mkataba huu unamalizika tarehe 30 Mei 2024.

Kipengele cha 2.3 cha mkataba kinazungumzia pesa ya usajili ambayo ni Tshs 100,000,000/= kwa kipindi chote cha mkataba ambacho kimsingi ni miaka 4 (2020 - 2024).

Kama ilivyo mikataba mingi kwenye mkataba huu pia kuna vipengele vya KUVUNJA mkataba ambacho ni namba 14 (Expiry, suspension and termination of the contract).

Katika kipengele namba 14.7 kama kilivyonakiriwa kwenye barua (notisi) ya kuvunja mkataba (swipe left) kinampa haki mchezaji kuvunja mkataba katika hali isio ya kawaida kwa kulipa pesa ya usajili kama inavyoainishwa na kipengele cha 2.3 na walau mshahara wa miezi 3.

Ukisoma katika kipengele cha 5 kinachozungumzia mshara, bima na malipo/ada nyingine (salary, insurance and other fees ) utagundua kipengele cha 5.1 kinasema mshahara wake ni Tshs 4,000,000/= kwa mwezi. Kwa miezi 3 kama unataka kulipa manake ni Tshs 12,000,000/=

Hiyo ndiyo sababu ukisoma notisi ya kuvunja mkataba inasomeka kwamba Feisal AMEILIPA Yanga SC Tshs 112,000,000/= ili kuendana na takwa la kimkataba. Kwamba milioni 100 pesa ya usajili na milioni 12 mshahara miezi 3.

Kipengele cha 18 ambacho ni cha mwisho kabisa katika mkataba kinazungumzia UHAMISHO WA BAADAE (Future Transfers). Ambapo 18.1 imasema "Mchezaji anaweza kuhamishwa kwenda klabu nyingine kukiwa na haja hiyo. Klabu inaweza kuanzisha mazungumzo na kufanya jitihada zake zote kuhakikisha usajili huo unafanikiwa juu ya kwamba klabu itaweka na kuamua pesa ya uhamisho kuendana na soko la wakati huo ambayo haitokuwa chini ya dola za kimarekani laki moja isipokuwa ikiamuliwa vinginevyo na klabu, ada ya uhamisho iliyotajwa itajumuisha mazingatio ya mchezaji kuhamia klabu nyingine"

Baada ya Feisali KUVUNJA mkataba KULIPA na kutoa notisi anakua mchezaji huru anaeweza kujiunga na klabu yoyote kama hakuna kipengele kilichokiukwa. Kipengele cha 18.1 hakiwezi kumbana tena.

BIN KAZUMARI.
Reposted from @jemedarisaidView attachment 2456370
Reposta_321179222_900554101307392_4389913529480327667_nwebp.jpg
 
KUHUSU FEISAL SALUM ABDALLAH

Kwanza ni KWELI pasi na shaka yoyote kwamba Feitoto amewapa NOTISI klabu yake ya Yanga SC ya kuvunja mkataba nao.

Feisal alikuwa na mkataba na Yanga SC (ambao BIN KAZUMARI imeuona) uliosainiwa tarehe 10 Agosti 2020 ukichukua nafasi ya ule uliosainiwa 2018. Mkataba huu unamalizika tarehe 30 Mei 2024.

Kipengele cha 2.3 cha mkataba kinazungumzia pesa ya usajili ambayo ni Tshs 100,000,000/= kwa kipindi chote cha mkataba ambacho kimsingi ni miaka 4 (2020 - 2024).

Kama ilivyo mikataba mingi kwenye mkataba huu pia kuna vipengele vya KUVUNJA mkataba ambacho ni namba 14 (Expiry, suspension and termination of the contract).

Katika kipengele namba 14.7 kama kilivyonakiriwa kwenye barua (notisi) ya kuvunja mkataba (swipe left) kinampa haki mchezaji kuvunja mkataba katika hali isio ya kawaida kwa kulipa pesa ya usajili kama inavyoainishwa na kipengele cha 2.3 na walau mshahara wa miezi 3.

Ukisoma katika kipengele cha 5 kinachozungumzia mshara, bima na malipo/ada nyingine (salary, insurance and other fees ) utagundua kipengele cha 5.1 kinasema mshahara wake ni Tshs 4,000,000/= kwa mwezi. Kwa miezi 3 kama unataka kulipa manake ni Tshs 12,000,000/=

Hiyo ndiyo sababu ukisoma notisi ya kuvunja mkataba inasomeka kwamba Feisal AMEILIPA Yanga SC Tshs 112,000,000/= ili kuendana na takwa la kimkataba. Kwamba milioni 100 pesa ya usajili na milioni 12 mshahara miezi 3.

Kipengele cha 18 ambacho ni cha mwisho kabisa katika mkataba kinazungumzia UHAMISHO WA BAADAE (Future Transfers). Ambapo 18.1 imasema "Mchezaji anaweza kuhamishwa kwenda klabu nyingine kukiwa na haja hiyo. Klabu inaweza kuanzisha mazungumzo na kufanya jitihada zake zote kuhakikisha usajili huo unafanikiwa juu ya kwamba klabu itaweka na kuamua pesa ya uhamisho kuendana na soko la wakati huo ambayo haitokuwa chini ya dola za kimarekani laki moja isipokuwa ikiamuliwa vinginevyo na klabu, ada ya uhamisho iliyotajwa itajumuisha mazingatio ya mchezaji kuhamia klabu nyingine"

Baada ya Feisali KUVUNJA mkataba KULIPA na kutoa notisi anakua mchezaji huru anaeweza kujiunga na klabu yoyote kama hakuna kipengele kilichokiukwa. Kipengele cha 18.1 hakiwezi kumbana tena.

BIN KAZUMARI.
Reposted from @jemedarisaidView attachment 2456370View attachment 2456371
Nimeishia kusoma kwenye mabano ya mwanzo tu sijui bin utumbo gani
 
Back
Top Bottom