Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wakuu
Nimeskia sana tetesi kuwa kutakuwa na swap deal kati ya Yanga na Mazembe
Means Musonda kwenda Congo na Baleke aje Yanga.
Huu usajiri kwa kweli tunaenda kupigwa kama kweli, pakubwa sana. Why?
Mpaka Mazembe wanakuja kwako kumtaka mchezaji ujue huyo ni a good player! Halafu pia hawa ni washindani wetu means tunaweza kukutana nao huko CAF
Huyu Baleke kama mzuri sana mbona wao hawamtaki wanaishia kumtoa kwa mkopo hovyo?
Simba karibu two seasons na Libya huko why?
Halafu tuwape Musonda kirahisi sana?
Tukumbuke kuwa tangu Musonda hajaja Zambia jamaa walikuwa wanamtaka sana ni vile Yanga waliwazidi kete Mazembe ..
Injinia huu usajiri achana nao nimeona Baleke yupo Dar tayari bora aende Simba au Azam huko.
Dube anatosha sana kwetu sio huyo Baleke ..
Unaweza kupinga pia.
Nawasilisha wakuu
Nimeskia sana tetesi kuwa kutakuwa na swap deal kati ya Yanga na Mazembe
Means Musonda kwenda Congo na Baleke aje Yanga.
Huu usajiri kwa kweli tunaenda kupigwa kama kweli, pakubwa sana. Why?
Mpaka Mazembe wanakuja kwako kumtaka mchezaji ujue huyo ni a good player! Halafu pia hawa ni washindani wetu means tunaweza kukutana nao huko CAF
Huyu Baleke kama mzuri sana mbona wao hawamtaki wanaishia kumtoa kwa mkopo hovyo?
Simba karibu two seasons na Libya huko why?
Halafu tuwape Musonda kirahisi sana?
Tukumbuke kuwa tangu Musonda hajaja Zambia jamaa walikuwa wanamtaka sana ni vile Yanga waliwazidi kete Mazembe ..
Injinia huu usajiri achana nao nimeona Baleke yupo Dar tayari bora aende Simba au Azam huko.
Dube anatosha sana kwetu sio huyo Baleke ..
Unaweza kupinga pia.
Nawasilisha wakuu