Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Baleke hakuna kitu ile miezi 6 yake ya mwanzo akiwa simba alikua na upepo tu ukiangalia hata magoli yake mengi yalikua ya kubahatishaKwani Yanga inahitaji Washambuliaji wangapi? Dube au Baleke?
Dube ni mzuri kuliko Baleke na Baleke ni mzuri kuliko Musonda. Ni vyema zaidi kama tukamsajili Dube na tufaye swap ya Kinzumbi kwa Musonda.