Swala la nyongeza ya mshahara wafanyakazi hawataki ufafanuzi. Haina tija na haitoshi

Swala la nyongeza ya mshahara wafanyakazi hawataki ufafanuzi. Haina tija na haitoshi

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Wafanyakazi walihitaji nyongeza za uhakika. Ila anachofanya sasa ni vituko tu. Kwa maisha haya elfu ishirini itasaidia nini. Watumishi wanaitaji vitendo zaidi.
Kwa wastani kila mtumisi kaongezewa buku tu kwa siku. Kwa maisha haya hiyo elfu moja inamaana gani?

Mwaka jana mliongeza elfu 2 eti punguzo la kodi. Hali za watumishi ni mbaya.
 
Wafanyakazi waliitaji nyongeza za uhakika. Ila anachofanya sasa ni vituko tu. Kwa maisha haya elfu ishirini itasaidia nini. Watumishi wanaitaji vitendo zaidi.
Mwaka jana mliongeza elfu 2 eti punguzo la kodi. Hali za watumishi ni mbaya.
Niliwaambia hili jambo hapa jamiiforums mkanitukana kwamba ninachuki na watumishi wa umma, hivi kwa akili zenu aslimia 23 mlitarajiwa kuongezewa shilingi ngapi? mtu ana basic ya 300k au 400 - 500k unategemea nyongeza ya shilingi ngapi na bado Mwigulu naye Kakaba tena benki, aki ya naniii maji lazima Muite mma. Bora jiwe alitwambia waziwazi jero lazima tuiheshimu
 
Enzi za Mwinyi wafanyakazi wengi sana waliacha kazi.

Zanzibar kunani?
 
Uko kwa ajira mpya wanalia no hela ya kujikimu no salary masikini wataishije ugenini huko hususanj walioenda mbali na mwakwao
Kwan samia ni mama yao na aliwazaa?? Wajue namna ya kujibeba na ikifika 2025 wasahau haya mambo wampigie kura
 
Serikali haina hela ya kulipa nyongeza tajwa
 
Waziri wa fedha ni phd holder ya mchongo tutegemee maumivu zaidi
Na huyo ndio tatizo kubwa,alipaswa aondoke madarakani kwa kumfanya Rais aonekane ni Muongo,amemfanya asiaminike tena,kila hotuba zake watakuwa wanamchora tu kama ilivyo kwa mzee wa Luangwa kule Lindi
 
Ni kweli inawezekana,kwa nn wadanganye sasa,si wawe wazi?
Nikwambie serkali hii ya mama Samia inachawa wengi na watanzania walivo wapuuzi kazi yao kishangilia hakuna kinachofanyia Maneno mengi Vitendo zero! Ameomgeza 23,000 lakini akaweka tozo ya miamala ya benki! Bora ya JPM aliwaambia ukweli na bidhaa nyingi alijitahidi kuzishusha! Ama kweli Dr Hossein Mwinyi bora angekuja yeye huku bars awe Raid ila huyu bibi brabra tu!
 
 
Wengi wanaolalamika ni WALIMU, hii kada imelaaniwa kwa kweli.
 
Huenda meimosi ikaongezwa tena. Hiyo elfu 20 inayolaaniwa haikuwepo for 5yrs na kazi mlifanya hamkuacha.
 
Mwenzie Punguzo la kodi 10000+ Yeye punguzo la kodi 2000 tatizo lipo hapa.
 
Uko kwa ajira mpya wanalia no hela ya kujikimu no salary masikini wataishije ugenini huko hususanj walioenda mbali na mwakwao
Acheni maneno jamani,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni nyie watumwa wa umma.......
Hivi aliyetangulia hajaongeza hata senti ila mlikaa kimyaaaaaaaaa,ila huyu aliyejitutumua na kuwapa hiko kidogo mnampigia kelele ,dah

Then,huyo wa ajira mpya unataka apokee salary mapema hivyo...wakati ameripoti mwezi huu wakati mchakato wa mshahara ushafanywa,bado hana cheki namba,kwanini hamna subira?
Nchi ngumu sana hii kuiongoza.....
Mama kamata hapohapo,

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom