TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mfumuko wa bei haukiwa katika Hali hii. Ujue. Najaribu kuvaa viatu vya watumishi naona vinavyobana!!!Huenda meimosi ikaongezwa tena. Hiyo elfu 20 inayolaaniwa haikuwepo for 5yrs na kazi mlifanya hamkuacha.
Kaweka kodi kila sehemu sizizoendana na kipato cha watu wao makato ktk benki tatizo binafsi nilitaka kununua salio Nmb mobile nikatakiwa nilipie 100 kila nikiingia nikaweka 500 mwisho najibiwa huduma haijawezeshwa 500 imeenda na 7000 ipo kwenye acc.Na huyo ndio tatizo kubwa,alipaswa aondoke madarakani kwa kumfanya Rais aonekane ni Muongo,amemfanya asiaminike tena,kila hotuba zake watakuwa wanamchora tu kama ilivyo kwa mzee wa Luangwa kule Lindi
Rais anayewadanganya watu wake wasomi.....,J.K tubadili katiba ugombea tena...,maana wote waliofata baada yako ni vituko....Nikwambie serkali hii ya mama Samia inachawa wengi na watanzania walivo wapuuzi kazi yao kishangilia hakuna kinachofanyia Maneno mengi Vitendo zero! Ameomgeza 23,000 lakini akaweka tozo ya miamala ya benki! Bora ya JPM aliwaambia ukweli na bidhaa nyingi alijitahidi kuzishusha! Ama kweli Dr Hossein Mwinyi bora angekuja yeye huku bars awe Raid ila huyu bibi brabra tu!
Ajira mpya kawaida kukosa mshahara wa kwanza ila pesa ya kujikimu ni miyeyusho ya halmashauriUko kwa ajira mpya wanalia no hela ya kujikimu no salary masikini wataishije ugenini huko hususanj walioenda mbali na mwakwao
Hii si sababu, Mfumuko wa bei wakati wa JK ulikuwa chini kuliko sasa, JK aliongeza mishahara na walimtukana na kutishia kugoma ila kazi hawakuacha.Mfumuko wa bei haukiwa katika Hali hii. Ujue. Najaribu kuvaa viatu vya watumishi naona vinavyobana!!!
Hili jipu pia kama ni kweliAjira mpya kawaida kukosa mshahara wa kwanza ila pesa ya kujikimu ni miyeyusho ya halmashauri
Kwa hiyo unawashauri wafanyeje sasa hivi maana hii si awamu ya Kikwete!Hii si sababu, Mfumuko wa bei wakati wa JK ulikuwa chini kuliko sasa, JK aliongeza mishahara na walimtukana na kutishia kugoma ila kazi hawakuacha.
Waliambiwa kada moja! Kada nyingine je? Ha ha hahahaha haaaaToshekeni na mishahara yenu
Aliyetangulia alisema wazi "sitoongeza" tofauti na "nitaongeza 23" halafu anaongeza 5, angesema nitaongeza elfu 10 kwa kila mtu nani angelaumu? Anaona watumishi wooote wajinga fulani hivi, Uongo uongo kwa mwanamke ni sifa mbaya sana!Acheni maneno jamani,mnyonge mnyongeni haki yake mpeni nyie watumwa wa umma.......
Hivi aliyetangulia hajaongeza hata senti ila mlikaa kimyaaaaaaaaa,ila huyu aliyejitutumua na kuwapa hiko kidogo mnampigia kelele ,dah
Then,huyo wa ajira mpya unataka apokee salary mapema hivyo...wakati ameripoti mwezi huu wakati mchakato wa mshahara ushafanywa,bado hana cheki namba,kwanini hamna subira?
Nchi ngumu sana hii kuiongoza.....
Mama kamata hapohapo,
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Wafanye kazi, mambo mazuri yatakuja. Ila kwa atakayezidiwa sana awapishe wengine.Kwa hiyo unawashauri wafanyeje sasa hivi maana hii si awamu ya Kikwete!
Hakika.Ajira mpya kawaida kukosa mshahara wa kwanza ila pesa ya kujikimu ni miyeyusho ya halmashauri
Wewe na wewe unakichwa kweli.?Kwan samia ni mama yao na aliwazaa?? Wajue namna ya kujibeba na ikifika 2025 wasahau haya mambo wampigie kura
Hakika aisee,naanza kupata shaka nae sana huyu kiongoziNikwambie serkali hii ya mama Samia inachawa wengi na watanzania walivo wapuuzi kazi yao kishangilia hakuna kinachofanyia Maneno mengi Vitendo zero! Ameomgeza 23,000 lakini akaweka tozo ya miamala ya benki! Bora ya JPM aliwaambia ukweli na bidhaa nyingi alijitahidi kuzishusha! Ama kweli Dr Hossein Mwinyi bora angekuja yeye huku bars awe Raid ila huyu bibi brabra tu!