Swala la Watanzania kuto kuunganisha Mitaji yao ni sawa na Kujichimbia Kaburi la Biashara

sio kweli kwamba watanzania hawana elimu ya biashara.
Na sio kweli kuwa ni watanzania tuu ndio sio waaminifu.

Mkumbuke kwenye biashara kuna Partnership deed ina sura ya kisheria kuainisha na kulinda maslahi ya pande zote mili , na kama ni kampuni kuna Memorandom na bodi pia legally binded.Hakuna kudhulumiana hapo.

Tatizokubwa linatokea kama mmeungana kienyejienyeji, kirafikirafiki au kiunduguundugu bila kuhusisha mambo ya kisheria (gawiwo, liabilities, decision making, records keeping, asserts etc).

Tanzania kumejaa sana bureucrcy hasa kama ni mzawa unavisent vyako unataka kuanzisha kampuni Utakutana na vikwanzo vingi, majungu na kuombwa rushwa mpaka ukome.
 

Mkuu true kabisa, Tunapenda sana kulalamika huku tukiwa tumekaa tu, na kama ulivyo sema tatizo kubwa liko hapo unakuta watu wanachaguana, waote wako bise na mambo yao mengine matokeo yake ni biashara kufa, ni lazima wote wawe na njaa ya mafanikio kama ulivyo sema, hata kama hana pesa,

Na ishu ya Aridhi hapo, Ipo siku tutakuja kilia na kuswaga meno, Hii aridhi tutakuja kuikumbuka sana wakati huo kukiwa hakuna njia tena,
 
Hii mada inafaa kuendelea tena maana najua kuna watu walishajaribu partnership wakaona changamoto zake
Pia kuna watu wana mawazo mapya kuhusu kuunganisha nguvu kwenye mambo ya kibiashara.
 
Wabongo kutoboa tukiwa bado ni vijana wadogo vigumu sana, na hao wanaotoboa katika umri wa kijana wa kati(20-29 yrs old) ni wachache sana. Wengi wanatoboa wakiwa wanaelekea uzeeni(35+yrs old).

Tatizo la vijana wengi ni ubinafsi na ujinga. Mtu anajibania fursa kwa kumbania mwenzake fursa pasipo kujijua. Kuna watu wana access ya kupata financial aids lakini hawajui wafanye nini na kuna wana idea kibao tu lakini hawajui ni wapi waanzie kutokana na kukosa hela.

Kutoshirikiana kwa namna yoyote ile kwa sababu ya aibu na kujikweza upelekea watu kudumaa kiuchumi na wanakuja kushtuka muda umeenda na penyewe ni baada ya kuwa na chaneli nyingi.
 
Huu uzi umenifunza jambo, ngoja nitafute vijana wenzangu tuunganishe mtaji tufanye biashara.
Inatakiwa twende kama marathon sio short race.
 
Point, hata nami ni case study kwa hili
 
Very nice, Hawa jamaa walipoteleaga wapi? Enzi hizo kulijuwa na Mijadala ya kiutu uzima
 
mimi nathani waafrica ndio tulivyo. Tunapenda kuona mahela yakiwa benki mengi badala ya kuwa kwenye mzunguko. Bill gates ni billionaire but nina uhakika account yake haina hata 500 M dollars versus wenzetu hapa wameweka uswizi huko.
 
Huu uzi umenifunza jambo, ngoja nitafute vijana wenzangu tuunganishe mtaji tufanye biashara.
Inatakiwa twende kama marathon sio short race.
Fanya mkweli mkuu chukua hatua, yaani kama una rafiki yako ambae yeye kupata funding support sio inshu, mkalishe chini mfanye nae maendeleo.
 
naogopa kuunganisha mtaji kwasababu ya yaliotokea baada yakuunganisha mtaji kupitia NICOL sasa hata siisikiitena lakini wakati ina anza tuliaidiwa mambo mengi.
Wapigaji sijui wale waliokusanya?
 
Sawa sawa mkuu
Nitaletavmrejesho hapa nikifanikiwa kuwapata watu wa kuunganisha nao nguvu ya mtaji.
 
Family level yenyewe tunashindana Nani atakuwa Na uwezo kushinda mwenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…