Swala Solution na Barrick Corporation kulikoni? Kampuni ya Twiga iko wapi?

Swala Solution na Barrick Corporation kulikoni? Kampuni ya Twiga iko wapi?

Sonimbusilo

Member
Joined
Aug 12, 2024
Posts
12
Reaction score
47
Kulikoni? Swala Solution, Barrick Gold Corporation na Rostam Aziz huko Kwenye Migodi Yetu?

Kwa nini Kuna asili ya watu Fulani wenye asili Fulani ndo wanapewa Nguvu na Barrick Gold Kwenye Migodi?kwa Nini wanatamba kuwa Rostam Aziz hafanywi Chochote na watachukua Kazi zoote za wazawa migodini?
Tuko Kwenye uchunguzi why? Swala Solution ana Nguvu? anapata wapi Nguvu? Kila kitu kitawekwa wazi na Mitandao huu, Watanzania amkeni Rostam Aziz anarudi kila Kona.

Watanzania bado tuna kumbukumbu Sawa kuwa kampuni yetu ya kitanzania Kwenye Migodi inayomilikiwa na Barrick Gold Corporation Ni Twiga Minerals Corporation yenye asilimia 16 na Bahati nzuri Juzi Juzi tumeona imetoa Gawio Serikalini Tsh Bilion 53.4, Sasa huyu Swala Solution Ni Nan? Why? Swala Solution, Barrick Partner?

Mbona huyu Swala Solution alishawahi fukuzwa Baadhi ya Nchi Kama Congo, Sasa kwa Nini Swala Solution anapata Nguvu Kwenye Migodi Yetu? Tanzania kampuni yetu Mbia Ni Twiga na si Swala Solution? Mwisho wa Siku tusisikie vilio kwa wazawa wanaofanya Biashara huko migodini, kumbukumbu sawa.

IMG-20240812-WA0060.jpg
 
Kulikoni? Swala Solution, Barrick Gold Corporation na Rostam Aziz huko Kwenye Migodi Yetu?

Kwa nini Kuna asili ya watu Fulani wenye asili Fulani ndo wanapewa Nguvu na Barrick Gold Kwenye Migodi?kwa Nini wanatamba kuwa Rostam Aziz hafanywi Chochote na watachukua Kazi zoote za wazawa migodini?
Tuko Kwenye uchunguzi why?Swala Solution ana Nguvu? anapata wapi Nguvu? Kila kitu kitawekwa wazi na Mitandao huu, Watanzania amkeni Rostam Aziz anarudi kila Kona.

Watanzania bado tuna kumbukumbu Sawa kuwa kampuni yetu ya kitanzania Kwenye Migodi inayomilikiwa na Barrick Gold Corporation Ni Twiga Minerals Corporation yenye asilimia 16 na Bahati nzuri Juzi Juzi tumeona imetoa Gawio Serikalini Tsh Bilion 53.4, Sasa huyu Swala Solution Ni Nan? Why? Swala Solution, Barrick Partner? Mbona huyu Swala Solution alishawahi fukuzwa Baadhi ya Nchi Kama Congo, Sasa kwa Nini Swala Solution anapata Nguvu Kwenye Migodi Yetu? Tanzania kampuni yetu Mbia Ni Twiga na si Swala Solution? Mwisho wa Siku tusisikie vilio kwa wazawa wanaofanya Biashara huko migodini, kumbukumbu sawa.
 

Attachments

  • IMG-20240812-WA0060.jpg
    IMG-20240812-WA0060.jpg
    36.6 KB · Views: 6
IMG-20240814-WA0029(1).jpg


Bashe anaeleweka ni kijana mtiifu kwa Rostam Aziz, na pia katokana Rostam Aziz kumkamata mtoto wa Rais wa Kiume kila mtu Serikalini anamuogopa Rostam Aziz, kwenye kilimo tender nyingi za wazawa zimeporwa hadi Kwenye Mbolea, pembejeo ni vikampuni vya Rostam Rostam Rostam.

Sasa Rostam Aziz kwa ukuu huo huo wa kumkamata mtoto wa Rais, Waziri wa Madini naye kaingia kingi sasa Kampuni ya Swala Solution anaenda na ananyang'anya wazawa tender na pia ndo Kama mbia wa Barrick Gold Corporation badala ya Twiga Minerals Corporation yenye asilimia 16.

Lazima tuanze kulia na Rasilimali zetu, la sivyo Rostam na genge Lake litamaliza makampuni ya kizalendo.
 
ROSTAM AZIZ ni Shida Katika Taifa anataka kila sekta iwe yake kuanzia Kwenye kilimo mpaka migodini.

Bashe amelipa fadhila kwa boss wake na ndugu yake Mfanyabiashara ambaye ana historia si Mzuri Rostam Aziz, Baada ya kuendana sawa Kwenye kilimo Sasa anamtumia aliyekuwa Naibu wake enzi hizo wizara ya kilimo Anthony Mavunde ambaye Sasa Ni Waziri wa Madini ili ROSTAM AZIZ apitishiwe Mambo yake Kwenye Migodi hasa inayomilikiwa na Barrick.

Umafia umafia unafanywa kwa Siri na Watendaji wa wizara ya Nishati ili Watanzania wazawa wanyang'anywe Biashara zao migodini apewe ROSTAM AZIZ pekee na kampuni yake ya mchongo SWALA SOLUTION.

swali la wazawa Je SWALA SOLUTION Ni mbadala wa TWIGA MINERALS CORPORATION ambayo ndiye hasa Mbia na BARRICK GOLD CORPORATION kwa hisa 16% na 84% consecutively.
 

Attachments

  • IMG-20240816-WA0144(1).jpg
    IMG-20240816-WA0144(1).jpg
    51 KB · Views: 6
Back
Top Bottom