Swala Solution na Barrick Corporation kulikoni? Kampuni ya Twiga iko wapi?

Swala Solution na Barrick Corporation kulikoni? Kampuni ya Twiga iko wapi?

Kumbe rostam ni sukuma gang . Huko siasani wanamuita King-maker kisa ana kipaji cha kuwaweka mfukoni marais wetu . Ila jamaa anajua jinsi ya kuzitafuta hela .
CCM ni Chama kilichosheheni Wezi na Wapigaji miaka yote, Rushwa kila mahali.

Ndio maana tunawaambia Wananchi bila kuitoa CCM madarakani hakuna jambo litakalobadilika.

Dawa ni kujiunga na CHADEMA DIGITAL halafu Uchaguzi ujao tuwanyonyowe bila maji✌️
 
Umeongelea RANGI ya Rostam kwamba "kwa Rangi yake hawezi kuitendea huruma NCHI hii..."
Hv unadhani kwanini Obama alikiwa rais marekan ilishangaza watu.....

Rostam hana asili ya utanzania so kwake kutapeli nchi ni swala la kunusa

Shivji naweza sema mzalendo kwa sababu hana makuu na aligoma kusepa Tanzania haya wewe mwenzangu unajua rostam yuko wapi na familia yake.???
 
Kuna jambo sijakuelewa. Swala Solution kuwa Kampuni ya Rostam shida iko wapi? Unajua kuwa Twiga Ni kampuni ya Ubia kati ya Barrick na GoT? Kama Barrick ni existing Company, shida iko wapi ikiwa na mbia intakaye? Au Ristam ni persona non granta hapa Tanzania? Rostam alikuwa Mbunge, anakuwaje sio Mtanzania?
 
Kuna jambo sijakuelewa. Swala Solution kuwa Kampuni ya Rostam shida iko wapi? Unajua kuwa Twiga Ni kampuni ya Ubia kati ya Barrick na GoT? Kama Barrick ni existing Company, shida iko wapi ikiwa na mbia intakaye? Au Ristam ni persona non granta hapa Tanzania? Rostam alikuwa Mbunge, anakuwaje sio Mtanzania?
Ni Mtanzania kamili wa kuzaliwa 😅👍
 
Back
Top Bottom