Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,108
- 4,751
yupo active... kuna wimbo mzuri sana kaimba na mdada wa uganda huwa nauona TRACE
sema the only problem kwa huyu jamaa ni kwamba hajui kujibrand baaaaasi
yani ukitoa nyimbo zake hakuna kitu kingine kinachoweza kukufanya umfatilie
You mean awe na kiki za mjini au