Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Naisubiria kwa hamu siku yake ya kuzaliwa Abdul Naseeeb mtoto halali wa Diamond Platnumz a.k.a Muuza Karanga na Hamisa Mobeto Chuchunge au ukipenda muite mbu (Anopheles) nataka kuona kama kweli Mondi atamfanyia party ya gharama kama anazowafanyia hawa Nillan na Tee au laah atamchinjia baharini [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Maana bajeti za party za Nillan na Tee ni zaidi ya milioni 200 ambazo zinatumika kwa siku moja tu ,sasa ngoja tuone kwa mtoto wa mbu/chuchunge kama naye atafanyiwa hivi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Maskini haka katoto kanavyonyanyasika mpaka kanatia huruma kwa kweli .[emoji30] [emoji30] [emoji30]
Maana bajeti za party za Nillan na Tee ni zaidi ya milioni 200 ambazo zinatumika kwa siku moja tu ,sasa ngoja tuone kwa mtoto wa mbu/chuchunge kama naye atafanyiwa hivi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]