CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Huko pia lilipita sa hii kumepoa pia.Kweeliiii???
Hili wimbi linapotea Tanzania tuu.
Vipi majirani zetu Kenya ambao wamejifungia toka MWAKA Jana,
Tena wakajarobu kufungua shule MWAKA huu, lakini yamewashinda,
Bado wamefunga shule, ikiambatana na hatua nyingine Kama lockdown, nk
Hawataweza kuelewa mpaka shingo zivunjike,na haya ndiyo madhara ya kuwa na wachumia tumbo wengiFRANCIS DA DON huko sawa kabisa. Kila jambo lina sababu. Wahenga walisema "UKIONA KIFARANGA KIKO JUU YA CHUNGU UJUE MAMA YAKE YUKO CHINI".
JPM alitujenga kisaikolojia kuhusu vita za wababe wa ulimwengu. Kazi iliyobaki ni sisi wananchi mmoja mmoja kuijua falsafa hii ya JPM na kuitetea ili sisi na vizazi vyetu tuwe salama.
Mama kasema anaunda tume ya wataalamu wabobezi kuhusiana na Corona.
Kelele zipi tena kabla ya mrejesho?
Tulipo tunasubiria kufahamu tume imeshaundwa na imefika wapi.
Kelele za nini hapo?
Vyombo vya habari vya mabeberu pamoja na Kenya wote kimya...
Uliza BRAZIL wanakufa watu mpaka 3000 kwa siku moja unasemaje haipoIpo ..
Uliza BRAZIL wanakufa watu mpaka 3000 kwa siku moja unasemaje haipo
Kwahiyo ndio mkawa mnasingizia kila kifo ni Corona? If not, Tanzia kwanini hamleti tena? Why? Leteni Tanzia hata mtu akipata ajali mseme ni Corona, kifo cha JPM kimewaacha uchi wa mnyamaAngefanya JPM aliyofanya Samia, kusingekuwa na kelele.
Samia kachukua njia iliyo sahihi kuwaacha wataalamu washauri kitalaamu na kwa uhuru wao wote.
Angefanya hivyo JPM mbona tungemwuunga mkono kama tunavyomwuunga mkono mama?
Hapendwi mtu. Matendo!
Kwahiyo ndio mkawa mnasingizia kila kifo ni Corona? If not, Tanzia kwanini hamleti tena? Why? Leteni Tanzia hata mtu akipata ajali mseme ni Corona, kifo cha JPM kimewaacha uchi wa mnyama
Hakika, toka kuzaliwa hadi utu uzima hiyo mishale ya maradhi uliyokwepa! acha tuKwani huamini alichosema mama .....
Kuzaliwa muafrika n barakoa tosha...[emoji188]
Propaganda tu na ujuaji wa kijinga. Hakuna kitu kama hichoIle nyomi kipindi cha kumuaga walisema mambo yatalipuka mpaka sasa tunahesabu majuma hatuoni mlipuko wa corona au tuendelee kusubiri siku bado