SWALI FIKIRISHI: Je, Magufuli ameondoka na Corona? Hatusikii tena kelele zake

Kweeliiii???
Hili wimbi linapotea Tanzania tuu.
Vipi majirani zetu Kenya ambao wamejifungia toka MWAKA Jana,
Tena wakajarobu kufungua shule MWAKA huu, lakini yamewashinda,
Bado wamefunga shule, ikiambatana na hatua nyingine Kama lockdown, nk
Huko pia lilipita sa hii kumepoa pia.
 
Hawataweza kuelewa mpaka shingo zivunjike,na haya ndiyo madhara ya kuwa na wachumia tumbo wengi
 
Vyombo vya habari vya mabeberu pamoja na Kenya wote kimya...
Mama kasema anaunda tume ya wataalamu wabobezi kuhusiana na Corona.

Kelele zipi tena kabla ya mrejesho?

Tulipo tunasubiria kufahamu tume imeshaundwa na imefika wapi.

Kelele za nini hapo?
 
Uliza BRAZIL wanakufa watu mpaka 3000 kwa siku moja unasemaje haipo

Mkuu kwa ukubwa wa Brazil ukilinganisha na Tanzania. Usishangae kuwa kiwiano na sisi tuko kwenye viwango hivyo hivyo vya vifo kwa siku.
 
Kwahiyo ndio mkawa mnasingizia kila kifo ni Corona? If not, Tanzia kwanini hamleti tena? Why? Leteni Tanzia hata mtu akipata ajali mseme ni Corona, kifo cha JPM kimewaacha uchi wa mnyama
 
Kwahiyo ndio mkawa mnasingizia kila kifo ni Corona? If not, Tanzia kwanini hamleti tena? Why? Leteni Tanzia hata mtu akipata ajali mseme ni Corona, kifo cha JPM kimewaacha uchi wa mnyama

Mtakuwa mmevurugwa kweri kweri. Kifo cha JPM kituache uchi wa mnyama sisi au nyie? Umewauliza mataga wenzio, bashiri, pole pole au katelefoni kabla ya kuandika huu utopolo wako?

In short, sisi kiroho safi tunasubiria tume ya mama ya Corona. Siyo yale mambo yenu na mwendazake ya nyungu nyungu na juice za NIMRI.

Hiyo ndiyo habari yenyewe.
 
Ile nyomi kipindi cha kumuaga walisema mambo yatalipuka mpaka sasa tunahesabu majuma hatuoni mlipuko wa corona au tuendelee kusubiri siku bado
Propaganda tu na ujuaji wa kijinga. Hakuna kitu kama hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…