mnadhimu mkuu wa jf
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 759
- 285
Habari zenu wapenda soka wote popote pale mlipo na wapenda michezo mingine pia wasalaam, wakuu kumekuwa na swali fikirishi ambalo linanisumbua ubongo hivi mwaka huu endapo simba atatwaa ubingwa wa ligi kuu na yanga akakamata nafasi ya 2 ina maana wote watakuwa na vigezo vya kwenda club bingwa africa?
Sasa na endapo kwenye fainali ya kombe la fA bingwa akawa yanga na simba akakamata nafasi ya 2 pia wote wanastahili kwenda shirikisho Afrika ss je mgawanyo wa timu hapo utafanyikaje ili kupata timu 2 za mabingwa africa na timu 2 za shirikisho africa naomba mwenye uelewa zaidi juu la hili atoe ufafanuzi.
Sasa na endapo kwenye fainali ya kombe la fA bingwa akawa yanga na simba akakamata nafasi ya 2 pia wote wanastahili kwenda shirikisho Afrika ss je mgawanyo wa timu hapo utafanyikaje ili kupata timu 2 za mabingwa africa na timu 2 za shirikisho africa naomba mwenye uelewa zaidi juu la hili atoe ufafanuzi.