Swali fikirishi: Kitendo cha Kangi Lugola kumfananisha Magufuli na Yesu, sio kwamba ni maono ya mwisho mchungu wa utawala wa Magufuli?

Watoke hadharani wakanushe...
Kwan ni tuhuma? Hapo wewe unajiongeza mwenyewe! So siku nyingine wakimwita jina lingine akanushe tena! Atajitokeza hadharani kukanusha mangapi? Wewe ni mtu mzima
Magufuli SIO Bwana YESU!
Ukipenda ulishike hilo ukipenda fuata kinyume chake!
Haya siku njema
 
Takataka hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…