Swali fikirishi: Kitendo cha Kangi Lugola kumfananisha Magufuli na Yesu, sio kwamba ni maono ya mwisho mchungu wa utawala wa Magufuli?

Duh...!. Hii ndio naisoma leo!. Kusema ukweli humu jf tuna manabii wa ukweli sana humu!.
Hongera kwa unabii huu ulikuja kutimia.
P
 
Aisee, Naantombe Mushi, zaidi ya nabii mkuu hii. Ilinipita sikuiona hii.
 
Na Hili wengi hawajui mkuu, yaan ukipewa ukuu wa MUNGU au nafas ya MUNGU na ukafurahia bila kukemea hadharani na kumrudishia MUNGU utukufu wake. Ndugu zanguni lazima ile kwako mazima... Refer kifo cha Herode!!
Herode mbali na zamani

Refer kifo cha huyu huyu mzee meko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…