Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Tuliza nyago kwanza, mbona unaandika kama unatekenywa?Kwnza kija mdee waliapidhwa wapi,
Ina maaabq haikuwa bungeni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaja spidiTuliza nyago kwanza, mbona unaandika kama unatekenywa?
Why not. Anything is possible under this regime.Wawili hapo: Pole pole na Lulida leo wameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa mujibu wa nyaraka iliyotoa uteuzi wao, Wabunge hao wateule wataapishwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Taratibu za Bunge.
Je, nao wataapishwa na Spika Job Ndugai palepale walipoapishwa akina Halima Mdee ambao baadaye walifukuzwa uanachama wa CHADEMA?
Huyyu mbabu anayaweza mauno utadhani kijana wa miaka 30 na kitu
Kwnza kija mdee waliapidhwa wapi,
Ina maaabq haikuwa bungeni?
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Wawili hao: Pole pole na Lulida leo wameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa mujibu wa nyaraka iliyotoa uteuzi wao, Wabunge hao wateule wataapishwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Taratibu za Bunge.
Je, nao wataapishwa na Spika Job Ndugai palepale walipoapishwa akina Halima Mdee ambao baadaye walifukuzwa uanachama wa CHADEMA?
I seeUpatikanaji wa kina Mdee na wenzake ulikuwa batili, waliandaliwa na kupatikana kihuni, ndio maana wakaapishwa gereji haraka haraka kuharakisha mambo, huyo Polepole na mwenzake wataapishwa ndani ya bunge na glasi za kunywea maji watawekewa.
Yaani palepale pasipo na SIWA?Wawili hao: Pole pole na Lulida leo wameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa mujibu wa nyaraka iliyotoa uteuzi wao, Wabunge hao wateule wataapishwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Taratibu za Bunge.
Je, nao wataapishwa na Spika Job Ndugai palepale walipoapishwa akina Halima Mdee ambao baadaye walifukuzwa uanachama wa CHADEMA?
Mwambie Jiwe anamsahau sana Pascal Mayala , amegeuka njaa kwelikweli humu mtandaoni , asipomteua anaweza kuchizika , maana amekuwa Mayala kweli yaani njaa .Wawili hao: Pole pole na Lulida leo wameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa mujibu wa nyaraka iliyotoa uteuzi wao, Wabunge hao wateule wataapishwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Taratibu za Bunge.
Je, nao wataapishwa na Spika Job Ndugai palepale walipoapishwa akina Halima Mdee ambao baadaye walifukuzwa uanachama wa CHADEMA?
Wameapishwa gereji.Kwnza kija mdee waliapidhwa wapi,
Ina maaabq haikuwa bungeni?
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Kwanini wale waasi mmewaapisha gereji?Ataapishwa kwenye ukumbi wa bunge!