Swali fikirishi: Komredi Polepole na Mama Lulida nao wataapishwa 'pale' walikoapishwa akina Halima Mdee?

Swali fikirishi: Komredi Polepole na Mama Lulida nao wataapishwa 'pale' walikoapishwa akina Halima Mdee?

Tena hawa wanaweza hata kuapishiwa ofisini kwa ndugai kabisa ili labda kujistify ile kitu kwamba exact location sio issue as long as ni kwenye viunga vya Bunge na mbele ya Ndugai, as far as Ndugai and AG are concerned
 
Heshima sana wanajamvi,

Leo Rais wa JMT kafanya uteuzi wa wabunge wawili.Mh Polepole na Mh Riziki Said kuwa wabunge wa bunge la JMT.

Kwanza napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza,bila shaka waheshimiwa hawa wabunge wateuli wanaweza pia kuteuliwa katika nafasi za uwaziri kamili au uNaibu Waziri.

Shaka haipo katika uteuzi lahasha,uteuzi wao upo na umezingatia katiba yetu tukufu ambayo Mh Rais wa JMT anazo nafasi kumi za kuteua wabunge.Natamani katiba mpya ambayo ingeondoa hizi nafasi lakini sasa hakuna mjadala kabisa.

Najiuliza Mh Spika Dr John Ndugai atawaapisha waheshimiwa wabunge wateule GARAGE kama alivyowaapisha Wabunge 19 wa viti maalumu.Natumaini Mh Polepole na Mh Riziki watakula kiapo ndani ya bunge la JMT kwa heshima zote za kibunge.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu wa kiwango cha SGR.

Ngongo safarini Dodoma kupitia Dar ofisi za Lumumba.
 
Heshima sana wanajamvi,

Leo Rais wa JMT kafanya uteuzi wa wabunge wawili.Mh Polepole na Mh Riziki Said kuwa wabunge wa bunge la JMT.

Kwanza napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza,bila shaka waheshimiwa hawa wabunge wateuli wanaweza pia kuteuliwa katika nafasi za uwaziri kamili au uNaibu Waziri.

Shaka haipo katika uteuzi lahasha,uteuzi wao upo na umezingatia katiba yetu tukufu ambayo Mh Rais wa JMT anazo nafasi kumi za kuteua wabunge.Natamani katiba mpya ambayo ingeondoa hizi nafasi lakini sasa hakuna mjadala kabisa.

Najiuliza Mh Spika Dr John Ndugai atawaapisha waheshimiwa wabunge wateule GARAGE kama alivyowaapisha Wabunge 19 wa viti maalumu.Natumaini Mh Polepole na Mh Riziki watakula kiapo ndani ya bunge la JMT kwa heshima zote za kibunge.

Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu wa kiwango cha SGR.

Ngongo safarini Dodoma kupitia Dar ofisi za Lumumba.
Kwani wametokea Bawacha?
 
Wawili hao: Pole pole na Lulida leo wameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mujibu wa nyaraka iliyotoa uteuzi wao, Wabunge hao wateule wataapishwa kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Taratibu za Bunge.

Je, nao wataapishwa na Spika Job Ndugai palepale walipoapishwa akina Halima Mdee ambao baadaye walifukuzwa uanachama wa CHADEMA?
Hakika Upuuzi wa Ndugai na Magufuli Sasa Umefika Kilele
 
Thubutu... Watasubiri hadi January ndani ya mjengo
 
Kila kitu kitafanyika kama kwa kina Mdee ili kulifanya kuwa tukio la kawaida!
 
Thubutu...ndugai mjanja sana..pale walifanya usanii tu..hakuna hatua za kisheria dhidi yake..
Nani kakuambia ndugai mjanja? Yule jamaa ni dhaifu mno asiyestahili kuitwa spika. Sasa hivi ni subwoofer anayepata maagizo ya mixer ambaye ni bwana yule mhutu.
 
Halima Mdee ni mkubwa kuliko Polepole.Kumbuka Polepole ni Katibu Mwenezi wakati Halima Mdee alikuwa Mwenyekiti wa BAWACHA Taifa.
Hiyo Bawacha iko taifa gani?

Polepole ni mjumbe wa sekretarieti ya CCM kadhalika ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM yenye wajumbe 24 tu kati ya wanachama milioni 22 wa CCM!
 
Upatikanaji wa kina Mdee na wenzake ulikuwa batili, waliandaliwa na kupatikana kihuni, ndio maana wakaapishwa gereji haraka haraka kuharakisha mambo, huyo Polepole na mwenzake wataapishwa ndani ya bunge na glasi za kunywea maji watawekewa.

Nadhan wata balance story ili isilete mushkheri.
 
Back
Top Bottom