SWALI FIKIRISHI KUHUSU ROHO, MWILI NA NAFSI.

SWALI FIKIRISHI KUHUSU ROHO, MWILI NA NAFSI.

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Habari za leo;

Ingawa kuna controversial nyingi sana kuhusu mwanzo wa dunia na ulimwengu basi leo nimeamka na swali hili kuhusu wanyama au viumbe wengine.

Watu wengi na baadhi ya maandiko ya kisayansi na kiimani husema kwamba binatamu ana sehemu tatu zinzocontrol ubinadamu wake. Ambazo ni MWILI, NAFSI na ROHO.

swali la msingi sasa, Je, Wanyama nao wana ROHO na NAFSI ?

Je, kwanini sehemu zote za machinjio huwa kuna uhuni uliothiri, umalaya, unywaji pombe ulio kithiri na dhambi za aina yote ? Je ni kweli territorial spirits za roho huwa zinaingia kwa hawa binadamu waishio na kufanya kazi maeneo hayo ?

Swali la pili la msingi, Je ni kweli kuna ROHO YA UTAJIRI na ROHO YA UMASIKINI kiimani ? na Kama zipo, Je Nifanye nini kuwa na ROHO YA KITAJIRI na Nifanye nini kuepula ROHO YA KIMASIKINI ?

Nawasilisha.

NB: Najua kuna baadhi ya vilaza wanasoma uzi huu marambili mbili na hawajaelewa nataka nini, Ila waliowengi na ambao wanaelewa watajibu vema tu bila tashtiti yoyote.
 
Machinjio yte , machinjio gani kuna umalaya? Na hizo dhambi ulizotaja?
Uliambiwa kwamba sehemu kwenye hizo roho sijui nafsi na mwili hamnaga umalaya,.
Bar hamna roho mwili na nafsi, kitambaa pale, buguruni kuna makokwa hamna roho mwili na nafsi?
Au mm sijaelewa kwanini wanyama tu?
 
Umechanganya mambo matatu tofauti kwa wakati mmoja.. Nitajibu kila moja kwa paragraph yake
Roho, mwili na nafsi
Kinachoanza ni roho(nishati Hai) hiki ndio msingi wa uhai
Kinachofuata ni mwili ambao ni jumba la roho
Cha mwisho ni nafsi
Muunganiko uko hivi roho ndani ya mwili ndio hutengeneza nafsi.. Nafsi ndio hubeba muktadha na utambulisho wa majina jinsia nk
 
Umechanganya mambo matatu tofauti kwa wakati mmoja.. Nitajibu kila moja kwa paragraph yake
Roho, mwili na nafsi
Kinachoanza ni roho(nishati Hai) hiki ndio msingi wa uhai
Kinachofuata ni mwili ambao ni jumba la roho
Cha mwisho ni nafsi
Muunganiko uko hivi roho ndani ya mwili ndio hutengeneza nafsi.. Nafsi ndio hubeba muktadha na utambulisho wa majina jinsia nk
 
Swali la pili
Je wanyama wana roho na nafsi?
Jibu ni ndio wanyama wana roho kwakuwa ni viumbe Hai na wana miili vibebeo vya roho na wana nafsi (utambulisho)
 
Swali la tatu
Tabia zisizopendeza kwenye mmachinjio
Hizi hazina uhusiano wowote na kuchinja ni tabia ambazo unaweza kuzikuta popote penye mkusanyiko wa watu na mzunguko wa pesa
Kwenye machinjio rasmi ya kisasa hakuna hayo mambo
 
Swali la nne
Je kuna aina za roho mbalimbali?
Hizi ni mambo za nyota ambazo ndio huzaa roho husika na roho hizo ni za kinadharia zaidi kwakuwa hukaa juu ya roho halisi
Roho mbaya
Roho nzuri nknk
Zaidi soma
 
Habari za leo;

Ingawa kuna controversial nyingi sana kuhusu mwanzo wa dunia na ulimwengu basi leo nimeamka na swali hili kuhusu wanyama au viumbe wengine.

Watu wengi na baadhi ya maandiko ya kisayansi na kiimani husema kwamba binatamu ana sehemu tatu zinzocontrol ubinadamu wake. Ambazo ni MWILI, NAFSI na ROHO.

swali la msingi sasa, Je, Wanyama nao wana ROHO na NAFSI ?

Je, kwanini sehemu zote za machinjio huwa kuna uhuni uliothiri, umalaya, unywaji pombe ulio kithiri na dhambi za aina yote ? Je ni kweli territorial spirits za roho huwa zinaingia kwa hawa binadamu waishio na kufanya kazi maeneo hayo ?

Swali la pili la msingi, Je ni kweli kuna ROHO YA UTAJIRI na ROHO YA UMASIKINI kiimani ? na Kama zipo, Je Nifanye nini kuwa na ROHO YA KITAJIRI na Nifanye nini kuepula ROHO YA KIMASIKINI ?

Nawasilisha.

NB: Najua kuna baadhi ya vilaza wanasoma uzi huu marambili mbili na hawajaelewa nataka nini, Ila waliowengi na ambao wanaelewa watajibu vema tu bila tashtiti yoyote.
Pitia uzi wa Arsis anayajibu vizuri sana hayo maswali, mwanzo mpaka mwisho wa uzi wake 👇🏾

 
Swali la nne
Je kuna aina za roho mbalimbali?
Hizi ni mambo za nyota ambazo ndio huzaa roho husika na roho hizo ni za kinadharia zaidi kwakuwa hukaa juu ya roho halisi
Roho mbaya
Roho nzuri nknk
Zaidi soma Na hii
 
Umechanganya mambo matatu tofauti kwa wakati mmoja.. Nitajibu kila moja kwa paragraph yake
Roho, mwili na nafsi
Kinachoanza ni roho(nishati Hai) hiki ndio msingi wa uhai
Kinachofuata ni mwili ambao ni jumba la roho
Cha mwisho ni nafsi
Muunganiko uko hivi roho ndani ya mwili ndio hutengeneza nafsi.. Nafsi ndio hubeba muktadha na utambulisho wa majina jinsia nk
Nashukuru sana bwana mshana nashukuru mno nitaendelea kusoma nyuzi zote ulizo zitag Ahsante sana
 
Pitia uzi wa Arsis anayajibu vizuri sana hayo maswali, mwanzo mpaka mwisho wa uzi wake 👇🏾

Nilikuwa naona huu uzi ila sikufuatiloa sana ngoja sasa nisome vizuri na kuelewa ahsante sana
 
Habari za leo;

Ingawa kuna controversial nyingi sana kuhusu mwanzo wa dunia na ulimwengu basi leo nimeamka na swali hili kuhusu wanyama au viumbe wengine.

Watu wengi na baadhi ya maandiko ya kisayansi na kiimani husema kwamba binatamu ana sehemu tatu zinzocontrol ubinadamu wake. Ambazo ni MWILI, NAFSI na ROHO.

swali la msingi sasa, Je, Wanyama nao wana ROHO na NAFSI ?

Je, kwanini sehemu zote za machinjio huwa kuna uhuni uliothiri, umalaya, unywaji pombe ulio kithiri na dhambi za aina yote ? Je ni kweli territorial spirits za roho huwa zinaingia kwa hawa binadamu waishio na kufanya kazi maeneo hayo ?

Swali la pili la msingi, Je ni kweli kuna ROHO YA UTAJIRI na ROHO YA UMASIKINI kiimani ? na Kama zipo, Je Nifanye nini kuwa na ROHO YA KITAJIRI na Nifanye nini kuepula ROHO YA KIMASIKINI ?

Nawasilisha.

NB: Najua kuna baadhi ya vilaza wanasoma uzi huu marambili mbili na hawajaelewa nataka nini, Ila waliowengi na ambao wanaelewa watajibu vema tu bila tashtiti yoyote.
Kilaza wa kwanza ni wewe.
Je, unakubaliana na mimi.?

NB. Majibu natoa baada ya wewe kukiri kuwa ndiyo kilaza namba moja juu ya huu uzi wako.
 
Back
Top Bottom