Swali fikirishi kuhusu Uhuru

Swali fikirishi kuhusu Uhuru

Patriot3

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2022
Posts
336
Reaction score
553
Swali fikirishi.

Kabla ya ukoloni wa Berlin Tanzania ama specifically Tanganyika haikuwepo, katika confinement ya mipaka ya sasa. Ni phenomena waliyoitengeneza wao.

Katika kudai Uhuru kulikuwa na haja gani ya kudai Uhuru wa Tanganyika ambayo never existed before?

Kwanini kusingedaiwa Uhuru wa kingdoms kama ilivyokuwa awali. Kwa nini Uhuru ilikandamiza tawala za awali ambazo zilikuwa autonomous. Kwanini tusiseme wapigania Uhuru walitengeneza mpya ya ukoloni dhidi ya hizi tawala.

Hoja yangu imejikitia katika ukweli kwamba umoja wa nchi somehow was forced na hizi tawala zilitishwa na pengine kuharibiwa.

Kwa mtazamo wangu ilibidi kila falme na tawala ikabidhiwe mamlaka yake kama ilivyokuwa kabla ya Uhuru. Nchi nyinyi kiafrika zinapata shida za kikabila kwa sababu ya artificial union zilirithishwa kutoka kwa wakoloni.

Ulaya Ujerumani ni Wajerumani Ufaransa wafaransa with the exception ya nchi kama Balji ambazo katika mipaka utakuwa wafaransa na wajerumani.
 
Nchini hehe,sukuma,zaramo........ Nafikri Tanzania tu tungekuwa na nchi 159+ vp Ni sawa.
 
Duuuuu mleta mada sijui amesoma wapi hadi anachanganya madesa. Kwanza UHURU unapatikana kwa nchi au Dola siyo himaya. Kifupi tu ni kuwa Tanganyika ambayo ilikuwa chini ya udhamini wa umoja wa Mataifa ndiyo ilidai uhuru kutoka kwa hao mabwana. Historia ya majina km Hehe kingdom, Nyamwezi kingdom, Karagwe chiefdom, Tanganyika, Tanzania nk rudi darasani maana ni historia ndefu hapa mtu hawezi kufafanua Kila kitu.
 
Duuuuu mleta mada sijui amesoma wapi hadi anachanganya madesa. Kwanza UHURU unapatikana kwa nchi au Dola siyo himaya. Kifupi tu ni kuwa Tanganyika ambayo ilikuwa chini ya udhamini wa umoja wa Mataifa ndiyo ilidai uhuru kutoka kwa hao mabwana. Historia ya majina km Hehe kingdom, Nyamwezi kingdom, Karagwe chiefdom, Tanganyika, Tanzania nk rudi darasani maana ni historia ndefu hapa mtu hawezi kufafanua Kila kitu.
kwani aliyepoteza uhuru ni Tanganyika ama imaya hizo? Tanganyika ilikuwa mandated state kwa waingereza yes.... Sio from UN bali League of nations. Kiufupi mandated states zilizawadiwa kwa washindi wa vita dhidi ya German. That didn't change anything. Tulikaliwa bado.

Swali LA msingi ni kwa nini tuirithi mipaka ya Berlin conference?

Pili kingdom inaweza kuwa independent maana before colonization they were. Hata sasa zipo kama Saudia, Britain, Spain with democracy ndani yake with the exception of Saudi Arabia ofcourse. So nakataa hoja yako. Uswatini ni Kingdom pia.
 
kwani aliyepoteza uhuru ni Tanganyika ama imaya hizo? Tanganyika ilikuwa mandated state kwa waingereza yes.... Sio from UN bali League of nations. Kiufupi mandated states zilizawadiwa kwa washindi wa vita dhidi ya German. That didn't change anything. Tulikaliwa bado.

Swali LA msingi ni kwa nini tuirithi mipaka ya Berlin conference?

Pili kingdom inaweza kuwa independent maana before colonization they were. Hata sasa zipo kama Saudia, Britain, Spain with democracy ndani yake with the exception of Saudi Arabia ofcourse. So nakataa hoja yako. Uswatini ni Kingdom pia.
Kwanza nikusahihishe kidogo, Tanganyika haikupata uhuru ikiwa mandated territory chini ya the League of Nations bali ilipata uhuru ikiwa trustee territory chini ya UNO ikiwakilishwa na Waingereza.

Kuhusu Eswatini, Britain, and the like ni kuwa Tanganyika had several separate kingdoms and at the same time there were strong chiefdoms within the same region unlike Eswatin, Britain etc ambazo ziliongozwa na mhimili mmoja (dola -chini ya king/queen) with full power. Sasa Tanganyika kila eneo lilikuwa na utawala wake na mamlaka yake. Kifupi Kila mtu alikuwa kambale. Kwa kuliona hili ndio maana Nyerere akapigania UHURU wa wengi(watu wote) badala ya kila kiongozi kupigania mamlaka ya eneo lake.

Pia kumbuka wakati Tanganyika inapigania uhuru strong kingdoms na chiefdoms zilikuwa zimeisha sambaratishwa na wakoloni kwa kuwanyang'anya mamlaka na hivyo viongozi wake kubakia km vibaraka tu wa wakoloni (colonial puppets) na kupoteza legitimacy ya kuongoza watu wao na wengine km akina chief Mirambo nk walikuwa wamefariki bila kuacha strong succession.

In short, Nyerere alitaka umoja wa kitaifa km nilivyoeleza hapo juu. Na ndiyo maana hata baada ya uhuru machifu walipotaka wapewe mamlaka kmili ya kiutawala Nyerere alikataa badala yake alikubali kutambua uwepo wao ktk kusimamia mambo ya mila na desturi ya watu wao bila kuingilia majukumu au mamlaka ya Rais wa Nchi.

Anyway mambo ni mengi tutosheke na hiki kidogo.
 
Zena
Mbona still zipo as chief alizifuta Mwalimu
Kiufupi
Kwanza nikusahihishe kidogo, Tanganyika haikupata uhuru ikiwa mandated territory chini ya the League of Nations bali ilipata uhuru ikiwa trustee territory chini ya UNO ikiwakilishwa na Waingereza.

Kuhusu Eswatini, Britain, and the like ni kuwa Tanganyika had several separate kingdoms and at the same time there were strong chiefdoms within the same region unlike Eswatin, Britain etc ambazo ziliongozwa na mhimili mmoja (dola -chini ya king/queen) with full power. Sasa Tanganyika kila eneo lilikuwa na utawala wake na mamlaka yake. Kifupi Kila mtu alikuwa kambale. Kwa kuliona hili ndio maana Nyerere akapigania UHURU wa wengi(watu wote) badala ya kila kiongozi kupigania mamlaka ya eneo lake.

Pia kumbuka wakati Tanganyika inapigania uhuru strong kingdoms na chiefdoms zilikuwa zimeisha sambaratishwa na wakoloni kwa kuwanyang'anya mamlaka na hivyo viongozi wake kubakia km vibaraka tu wa wakoloni (colonial puppets) na kupoteza legitimacy ya kuongoza watu wao na wengine km akina chief Mirambo nk walikuwa wamefariki bila kuacha strong succession.

In short, Nyerere alitaka umoja wa kitaifa km nilivyoeleza hapo juu. Na ndiyo maana hata baada ya uhuru machifu walipotaka wapewe mamlaka kmili ya kiutawala Nyerere alikataa badala yake alikubali kutambua uwepo wao ktk kusimamia mambo ya mila na desturi ya watu wao bila kuingilia majukumu au mamlaka ya Rais wa Nchi.

Anyway mambo ni mengi tutosheke na hiki kidogo.
Thanks for the correction above.

Sasa kuhusu wa Umoja kitaifa haufikiri ulilazimishwa regardless ya status ya hizo chiefdoms? Umoja wa taifa LA lililontengenezwa na wakoloni artificially? Kwa nini asingewakabidhi hawa chiefs then waingie Mizani atleast wafanye semi autonomous states
 
Zena

Kiufupi

Thanks for the correction above.

Sasa kuhusu wa Umoja kitaifa haufikiri ulilazimishwa regardless ya status ya hizo chiefdoms? Umoja wa taifa LA lililontengenezwa na wakoloni artificially? Kwa nini asingewakabidhi hawa chiefs then waingie Mizani atleast wafanye semi autonomous states
Kwa hili am speechless kwa kweli. Ujue historia ili umueleweshe mtu akubaliane na mawazo yako inahitaji maelezo ya kutosha. Hasa ukizingatia kuwa historia ya Tanganyika hadi Tanzania kwa upande wangu naiona km haijitoshelezi kutoa ufafanuzi ulioshiba. Kifupi ni historia isiyo historika. Imefichwa/haijatafutiwa taarifa kwa kina. Hata source zake ni chache sn na haziingii ndani kudadavua kwa kina.

Ngoja wengine nao waje waendelee kutema madini hapa, unaweza kupata majibu ya haja yako.
 
Back
Top Bottom