Yale maandamano baba ndubwi aliyapa jina la Şamia Muşt go…. And that was his political miscalculation…. Maana yeye kama yeye hana moral authority ya kuchallenge mh raisWadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
- pamoja na Katibu wa CCM Dr E nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
- lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani Chadema, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.
Je ccm waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?
Ccm ni wafaidika wa huo utekaji, hivyo hawawezi kuunga maandamano yanayopinga sehemu ya mbinu yao ya kutawala kwa shuruti.Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
- pamoja na Katibu wa CCM Dr E nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
- lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani Chadema, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.
Je ccm waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?
Kwani ni Mbowe na wenzake wangapi waliojitokeza?Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
- Pamoja na Katibu wa CCM Dr Emmanuel Nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
- Lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CHADEMA, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.
Je CCM waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?
Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Mungu ailaze Roho ya Ally Kibao Mahali pema peponi, AminaNi kwasabb ccm ndiyo waliomuua mzee Kibao
Bibi akiongea kinafiki kuwa anataka uchunguzi ufanywe haraka. Lkn baada ya siku 2 akasema "kifo ni kifo tu".Mungu ailaze Roho ya Ally Kibao Mahali pema peponi, Amina
Walikua wanne…. Baba ndubwi na beneficiaries wale wa pesa za wa wazunguKwani ni Mbowe na wenzake wangapi waliojitokeza?
Chadema sio raia?Kwa sababu maandamano yaliratibiwa na Chadema na sio raia wnyw
Chakadomoz sio raia …. Ni chamaChadema sio raia?
NI WAO WATEKAJI WATTANDAMANAJE?Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
- Pamoja na Katibu wa CCM Dr Emmanuel Nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
- Lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CHADEMA, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.
Je CCM waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?
Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Yale haramu ya kukurupuka ya samia must go, right?🐒Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
- Pamoja na Katibu wa CCM Dr Emmanuel Nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
- Lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CHADEMA, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.
Je CCM waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?
Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea