Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Tuambie ccm mnaandamana lini kupinga utekajaji?Yale maandamano baba ndubwi aliyapa jina la Şamia Muşt go…. And that was his political miscalculation…. Maana yeye kama yeye hana moral authority ya kuchallenge mh rais
Angekomaa na mengine angetoboa
I think he was misguided
Shule ya gachagua should be taught in every classroom ya namna ya mamlaka zinavyolindwa
One mistake One goal !Yale maandamano baba ndubwi aliyapa jina la Şamia Muşt go…. And that was his political miscalculation…. Maana yeye kama yeye hana moral authority ya kuchallenge mh rais
Angekomaa na mengine angetoboa
I think he was misguided
Shule ya gachagua should be taught in every classroom ya namna ya mamlaka zinavyolindwa
Chama kinaongozwa na nani!AmBAR sio raia?Chakadomoz sio raia …. Ni chama
Kwani raia ni watu gani mkuu?Kwa sababu maandamano yaliratibiwa na Chadema na sio raia wnyw
🤔🤫🙄Chadema sio raia?
Ukirejea Maneno ya VIONGOZI wa UVCCM Wengi utapata majibuJe CCM waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?
N watu waliokufaKwani raia ni watu gani mkuu?
N chama cha siasa, kwan ccm sio raia?Chadema sio raia?
Hilo nalo neno 🙄 !Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
- Pamoja na Katibu wa CCM Dr Emmanuel Nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
- Lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CHADEMA, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.
Je CCM waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?
Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Waje ila waje wakiwa na majibu.ngoja waje
Mbona wewe ulishiriki kinaa na ukakamatwa.Yale haramu ya kukurupuka ya samia must go, right?🐒
halafu mtangazaji na muhamasishaji mkuu wa yale maandamano bilashaka alikua katumia kilevi fulani kilichomchochea kutangaza..
haikua bure ile,
so , ilikua ni mtihani kufuata maagizo ya mlevi ama la. Na matokeo yake wenye hakima na busara wakampuuza 🐒
unaitisha maandamno kwa kuchochewa na kilevi wanachama wako wote wanakusaliti hakuna hata moja anaejitokeza kuandamana, halafu unabaki mwenyewe na unakamatwa polisi pekeyao 🤣Mbona wewe ulishiriki kinaa na ukakamatwa.
Swali fikirishi kama chama dola, (CCM), kinashindwa kudhibiti watu wasiojulikana, je vyama vya upinzani vinaweza kudhibiti wasiojukikana?,Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
- Pamoja na Katibu wa CCM Dr Emmanuel Nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
- Lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CHADEMA, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.
Je CCM waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?
Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Hilo swali watakuja kujibu ccm wenyeweTuambie ccm mnaandamana lini kupinga utekajaji?
Kagoshima heshima yako, swali ni zuri lakini nataka tufikirie pia kwenye maandamano watu wa mbele kabisa nadhani wangekuwa familia ya watu waliyotekwa kwani wao ndiyo wenye uchungu zaidi kuliko mtu yoyote mwingine kwa kupotelewa na wapendwa wao. Swala likiingia katika upinzani wa kisiasa basi linapoteza nguvu kwa wananchi wote kuliunga mkono, lakini kama familia za waliyotekwa wangeandamana nadhani hapo kila mtu angeliunga mkono.Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
- Pamoja na Katibu wa CCM Dr Emmanuel Nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
- Lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CHADEMA, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.
Je CCM waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?
Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea