Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Nyie si ndio wale mmoja akipika samaki mwingine anapika nyamaKwa upande wangu Mimi kike na kike kutokana na hali ya urafiki wetu..na huyu kidawa wangu.
Sio kweli mkuu...mfano mm nikikuwa na rafiki yangu mmoja wa kike kwa muda mrefu sana hatukuwahi kujihusisha na mapenzi hata siku moja....zaiid zaid ndo kwanza nilikuwa namtumia kunitongozea wasichana wenzake...urafiki ulikuwa kupungua baada ya yy kuolewa na mume wake kumpiga biti akidhan kuwa na mm napita naeNi lini urafiki kati ya AB ukawa wa kweli bila kuwepo "Mapenzi"??!--- labda woote wawili wawe "sexually impotents", otherwise haakuna urafiki wa kweli kati ya AB.
Urafiki wa kweli unaweza kupatikana kati ya AA, na hivyo hivyo kati ya BB.
Ilikuaje tena visu hvoNakumbuka sana nigaa wangu G,sikuwai kuwa na rafiki wa kweli Kama huyuu,nilipigwa kisu kwa ajili yakee.....na alikua dogo kwangu Ila man of action,nilipo yupo.rest in peace bro!ila Hawa marafiki wa ukubwani Ni wapombee na starehe tu,ukiwa huna huwaoni
Kwa upande wangu mie urafiki wa kweli upo AB.
Sio kweli mkuu...mfano mm nikikuwa na rafiki yangu mmoja wa kike kwa muda mrefu sana hatukuwahi kujihusisha na mapenzi hata siku moja....zaiid zaid ndo kwanza nilikuwa namtumia kunitongozea wasichana wenzake...urafiki ulikuwa kupungua baada ya yy kuolewa na mume wake kumpiga biti akidhan kuwa na mm napita nae
aKama ungejaribu kupima kwa kina kile nilichoandika kamwe usingekuja na huo mfano hai wako, kifupi huo mfano wako ni kama unaniunga mkono kile nilichoandika.
Haiwezekani aslan kwa mwanaume rijali akawa na urafiki na mwanamke mrembo bila kutamaniana kimapenzi, ninachokiona kati ya urafiki wenu wa zamani wewe na huyo demu ni kama urafiki wa wavulana wawili, yawezekana huyo demu hakuwa mrembo usoni kwako ndiyo maana akawa ni kuwadi wako, waswahili wanasema fimbo ya mbali haiui nyoka, sasa ilikuaje uchukue fimbo za mbali wakati fimbo ya karibu ulikuwa unayo???!!, au (ashakum) huyo demu alikuwa ni dada yako, au mama yako mdogo nk??!!!, kifupi ni kwamba usemacho hakiingii akilini.
Huyo demu hakuwa attractive to you, hiyo ni sawa kama vile ulikuwa upo pamoja na mwanaume mwenzako, kimsingi unakubaliana na mimi kwamba hakuna urafiki kati ya AB bila kuhusisha mapenzi yaani urafiki wa kweli kati ya AB hushadidishwa na mapenzi (love/ conjugal relationship).
Urafiki wa kweli wa AB wawe watu ambao wanatakana ila hawaambianiKatika maisha kuna kitu kinaitwa urafiki wa ukweli.yaani
Utakuta watu wameshibana hatari...alipo huyu na mwenzake yupo. Au mmoja akiwa na shida hata usiku wa manane mwenzake atapambana kumsaidia haraka(kutokupuuza mambo)
Kumbuka hapa naongelea URAFIKI SIO MAPENZI...
Sasa kuna jinsia mbili
KIUME: (A)
KIKE🙁B)
SWALI; ni urafiki gani ni wa ukweli,wa shida na raha,wa kudumu,wa uhakika,usio na majungu,masengenyo. Kati ya Jinsia Ya;
AA -(KIUME KWA KIUME)
BB -(KIKE KWA KIKE)
AB- (KIUME KWA KIKE)
URAFIKI GANI kwako ni mzuri zaidi...unafaa
Nasisitiza ni urafiki sio mahusiano ya mapenzi..
Haya mabest na mashosti karibuni
hahaha..si maumivu ya moyo hapo sasaUrafiki wa kweli wa AB wawe watu ambao wanatakana ila hawaambiani
Una maanisha nn mkuuInategemeana na mtu mwenyewe na sio jinsi (KE/ME)yake.