Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Katika maisha kuna kitu kinaitwa urafiki wa ukweli.yaani
Utakuta watu wameshibana hatari...alipo huyu na mwenzake yupo. Au mmoja akiwa na shida hata usiku wa manane mwenzake atapambana kumsaidia haraka(kutokupuuza mambo)
Kumbuka hapa naongelea URAFIKI SIO MAPENZI...
Sasa kuna jinsia mbili
KIUME: (A)
KIKE🙁B)
SWALI; ni urafiki gani ni wa ukweli,wa shida na raha,wa kudumu,wa uhakika,usio na majungu,masengenyo. Kati ya Jinsia Ya;
AA -(KIUME KWA KIUME)
BB -(KIKE KWA KIKE)
AB- (KIUME KWA KIKE)
URAFIKI GANI kwako ni mzuri zaidi...unafaa
Nasisitiza ni urafiki sio mahusiano ya mapenzi..
Haya mabest na mashosti karibuni
Utakuta watu wameshibana hatari...alipo huyu na mwenzake yupo. Au mmoja akiwa na shida hata usiku wa manane mwenzake atapambana kumsaidia haraka(kutokupuuza mambo)
Kumbuka hapa naongelea URAFIKI SIO MAPENZI...
Sasa kuna jinsia mbili
KIUME: (A)
KIKE🙁B)
SWALI; ni urafiki gani ni wa ukweli,wa shida na raha,wa kudumu,wa uhakika,usio na majungu,masengenyo. Kati ya Jinsia Ya;
AA -(KIUME KWA KIUME)
BB -(KIKE KWA KIKE)
AB- (KIUME KWA KIKE)
URAFIKI GANI kwako ni mzuri zaidi...unafaa
Nasisitiza ni urafiki sio mahusiano ya mapenzi..
Haya mabest na mashosti karibuni