Swali fikirishi: Utafanya nini ukiokota hii hela?

Swali fikirishi: Utafanya nini ukiokota hii hela?

Mcqueenen

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,843
Reaction score
11,702
Wewe apo! Yes wewe apo sio mwingine... nina swali moja naomba nikuulize, ambalo ukijibu baadae nitakuambia maana ya hili swali langu.

Kwamfano unatembea mtaani halafu njiani kwa bahati nzuri ukaokota shilingi laki moja (100,000/=) Sasa ukawa una furaha sana unatembea huku unapanga utaitumiaje.

Mbele kidogo ukakutana na mtu (randomly) aliyekuona unaiokota hiyo hela.

Huyo mtu akakuambia kuwa "huu mtaa kuokota hela ni kawaida sana, ukitaka kuokota kubwa zaidi inapaswa hiyo hela uliyoiokota usiitumie/uitumie kidogo sana na iliyobaki ukaitupe chooni kisha urudi huu mtaa utaokota hela kubwa zaidi"

Kwahyo kadri ambapo huitumii hiyo hela ndiyo unavyojiongezea uwezekano wa kuokota kubwa zaidi,

Usipoitumia kabisa utaokota millioni 5.
Ukitumia 10,000 ukatupa 90,000 utaokota milioni 3.
Ukitumia 20,000 utaokota millioni 1
Ukitumia 30,000 utaokota laki 8
Ukitumia 40,000 utaokota laki 6
Ukitumia 50,000 utaokota laki 4
Ukitumia 60,000 utaokota laki 3
Ukitumia 70,000 utaokota laki 2
Ukitumia 80,000 utaokota laki 1
Ukitumia 90,000 utaokota 50,000
Ukiitumia hela yote Haupati chochote, ila utakuja nawewe kupoteza hela zaidi ya uliyookota.

Utafanya nini? Utatumia sh. ngapi?
 
Easy tu, naichukua hiyo hela naiweka tigo pesa siitumii halafu kesho napita tena hapo hapo

Nisipokuta kitu nitatumia buku kununulia vocha ili kesho yake nikipita nione changes

Keshokutwa nisipoona changes zozote naenda kwa wakala naitoa yote
 
Easy tu, naichukua hiyo hela naiweka tigo pesa siitumii halafu kesho napita tena hapo hapo

Nisipokuta kitu nitatumia buku kununulia vocha ili kesho yake nikipita nione changes

Keshokutwa nisipoona changes zozote naenda kwa wakala naitoa yote
Sharti ni mpaka utupe chooni ndo inahesabika...........kwahiyo usipotupa chooni inakuwa ni kama umeitumia yote
 
Sharti ni mpaka utupe chooni ndo inahesabika...........kwahiyo usipotupa chooni inakuwa ni kama umeitumia yote
Sawa naifunga kwenye karatasi la nailoni halafu nazungushia kamba hicho kimfuko

Naenda kwenye choo cha shimo la moja kwa moja naitumbukiza halafu ile kamba naibana kwa nje

Kesho napita hapo nikiona hola narudi chooni navuta kile kikamba natoa kibunda shuhuli inaishia hapo
 
Sawa naifunga kwenye karatasi la nailoni halafu nazungushia kamba hicho kimfuko

Naenda kwenye choo cha shimo la moja kwa moja naitumbukiza halafu ile kamba naibana kwa nje

Kesho napita hapo nikiona hola narudi chooni navuta kile kikamba natoa kibunda shuhuli inaishia hapo
Okay, lets say hii ni impossible...Jibu moja kati ya hizo option za kuitumia au kuitupa. Hakuna ujanja ujanja
 
Chai ya Moscow Hii[emoji28]
IMG_20220612_135725.jpg
 
Wewe apo! yes wewe apo sio mwingine... nina swali moja naomba nikuulize, ambalo ukijibu baadae nitakuambia maana ya hili swali langu.

Kwamfano unatembea mtaani halafu njiani kwa bahati nzuri ukaokota shilingi laki moja (100,000/=)
Sasa ukawa una furaha sana unatembea huku unapanga utaitumiaje.

Mbele kidogo ukakutana na mtu (randomly) aliyekuona unaiokota hiyo hela.

Huyo mtu akakuambia kuwa "huu mtaa kuokota hela ni kawaida sana, ukitaka kuokota kubwa zaidi inapaswa hiyo hela uliyoiokota usiitumie/uitumie kidogo sana na iliyobaki ukaitupe chooni kisha urudi huu mtaa utaokota hela kubwa zaidi"

Kwahyo kadri ambapo huitumii hiyo hela ndiyo unavyojiongezea uwezekano wa kuokota kubwa zaidi,

Usipoitumia kabisa utaokota millioni 5.
Ukitumia 10,000 ukatupa 90,000 utaokota milioni 3.
Ukitumia 20,000 utaokota millioni 1
Ukitumia 30,000 utaokota laki 8
Ukitumia 40,000 utaokota laki 6
Ukitumia 50,000 utaokota laki 4
Ukitumia 60,000 utaokota laki 3
Ukitumia 70,000 utaokota laki 2
Ukitumia 80,000 utaokota laki 1
Ukitumia 90,000 utaokota 50,000
Ukiitumia hela yote Haupati chochote, ila utakuja nawewe kupoteza hela zaidi ya uliyookota.

Utafanya nini? Utatumia sh. ngapi?
Nitaacha kuota
 
Wewe apo! yes wewe apo sio mwingine... nina swali moja naomba nikuulize, ambalo ukijibu baadae nitakuambia maana ya hili swali langu.

Kwamfano unatembea mtaani halafu njiani kwa bahati nzuri ukaokota shilingi laki moja (100,000/=)
Sasa ukawa una furaha sana unatembea huku unapanga utaitumiaje.

Mbele kidogo ukakutana na mtu (randomly) aliyekuona unaiokota hiyo hela.

Huyo mtu akakuambia kuwa "huu mtaa kuokota hela ni kawaida sana, ukitaka kuokota kubwa zaidi inapaswa hiyo hela uliyoiokota usiitumie/uitumie kidogo sana na iliyobaki ukaitupe chooni kisha urudi huu mtaa utaokota hela kubwa zaidi"

Kwahyo kadri ambapo huitumii hiyo hela ndiyo unavyojiongezea uwezekano wa kuokota kubwa zaidi,

Usipoitumia kabisa utaokota millioni 5.
Ukitumia 10,000 ukatupa 90,000 utaokota milioni 3.
Ukitumia 20,000 utaokota millioni 1
Ukitumia 30,000 utaokota laki 8
Ukitumia 40,000 utaokota laki 6
Ukitumia 50,000 utaokota laki 4
Ukitumia 60,000 utaokota laki 3
Ukitumia 70,000 utaokota laki 2
Ukitumia 80,000 utaokota laki 1
Ukitumia 90,000 utaokota 50,000
Ukiitumia hela yote Haupati chochote, ila utakuja nawewe kupoteza hela zaidi ya uliyookota.

Utafanya nini? Utatumia sh. ngapi?
Nitaiutumia kujitawadhia
 
Okay, lets say hii ni impossible...Jibu moja kati ya hizo option za kuitumia au kuitupa. Hakuna ujanja ujanja
Hata hapo hujaona nacheza katika option hizo hizo za kuitumia au kutoitumia?

Au kwasababu natembea na backup mkononi?

Nimechagua Kutokuitumia kwa kuitupa chooni ila nimechukua tahadhari ya mapema endapo msela ananipiga fix niwe na backup ya kuzi retreive
 
Hata hapo hujaona nacheza katika option hizo hizo za kuitumia au kutoitumia?

Au kwasababu natembea na backup mkononi?

Nimechagua Kutokuitumia kwa kuitupa chooni ila nimechukua tahadhari ya mapema endapo msela ananipiga fix niwe na backup ya kuzi retreive
Yani tuseme Hakuna uwezekano wa Back up! Option ni mbili, kutumia au kutotumia
Wewe utaenda na ipi?
 
Naitumia yote. Sumu haionjwi.
Tofauti na hapo ntatafta hata watu 3 nione kama wamepata hyo results. Kama hakuna, hicho ni kianzio tosha
 
Yani tuseme Hakuna uwezekano wa Back up! Option ni mbili, kutumia au kutotumia
Wewe utaenda na ipi?
Kinyume na hapo maamuzi yoyote utayofanya yatakuwa ni uzembe

Huwezi ukatupa hela ambayo huwezi kuuirudisha kwa kuuamini maneno ya stranger

Na huwezi kuruhusu usipate mtonyo mkubwa kwa sharti la kutotumia hela wakati option kama zile nilizotaja unazo
 
Kinyume na hapo maamuzi yoyote utayofanya yatakuwa ni uzembe

Huwezi ukatupa hela ambayo huwezi kuuirudisha kwa kuuamini maneno ya stranger

Na huwezi kuruhusu usipate mtonyo mkubwa kwa sharti la kutotumia hela wakati option kama zile nilizotaja unazo
Sawa, wewe utachagua uzembe Gani hapo?
Kuna scenario nyingine kama hiyo ambayo haina option Za ujanja ujanja....Sasa nataka nkipata jibu hapo niapply
 
Naitumia yote. Sumu haionjwi.
Tofauti na hapo ntatafta hata watu 3 nione kama wamepata hyo results. Kama hakuna, hicho ni kianzio tosha
Hakuna mtu aliyewahi kuokota akasimulia....wote wanaookota WaPo kimya (Ni kama Siri)
Kwahyo uamuzi Ni wako
 
Sawa, wewe utachagua uzembe Gani hapo?
Kuna scenario nyingine kama hiyo ambayo haina option Za ujanja ujanja....Sasa nataka nkipata jibu hapo niapply
Uzembe wenye mantiki

Natumia yote hiyo laki halafu outcome yeyote ile sitaijutia, hiyo inaitwa potelea mbali
 
Hizo lela uokote awami hii hii???🤔🤔🤔🤔?😳😳😳😳
 
Easy tu, naichukua hiyo hela naiweka tigo pesa siitumii halafu kesho napita tena hapo hapo

Nisipokuta kitu nitatumia buku kununulia vocha ili kesho yake nikipita nione changes

Keshokutwa nisipoona changes zozote naenda kwa wakala naitoa yote
Hujamuelewa
 
Back
Top Bottom