Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Ccm bila kuua na kuwafunga chadema huwa hawajihesabii hakiCCM ni ileile
Kuimba ni kupokezana.Watu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia
Aiseee.Watu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia
Watu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia
Sasa hivi haufahamiki hata unachopigania , yaani umekuwa chawa kamiliWatu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia
Huyo nae ni YatimaAiseee.
Kweli huwezi kushindana na nyakati.
Sasa hivi unaandika vi-threads vyako havina tofauti na vya Mmawia na johnthebaptist
Ni kweli kabisa,maana huu mgao wa umeme,maji,tozo na wamachinga kuondolewa vinawahusu Chadema tuu.Laaana ya kushangilia 17/3/2021 itawatafuna milele Chadema.
Wataishi maisha ya kulalamika milele.
Mtoe Mmawia hapo tafadhali.Aiseee.
Kweli huwezi kushindana na nyakati.
Sasa hivi unaandika vi-threads vyako havina tofauti na vya Mmawia na johnthebaptist
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Mtoe Mmawia hapo tafadhali.
Kiwango chako cha kupambanua mambo kimeshuka sana. Umeingiliwa kwenye ubongo unaelekezwa nini cha kuleta humu!Watu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia
Usaliti ni laanaKiwango chako cha kupambanua mambo kimeshuka sana. Umeingiliwa kwenye ubongo unaelekezwa nini cha kuleta humu!