greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Sio chadema tuu kuna kenge zingine za ccm nazo zipoLaaana ya kushangilia 17/3/2021 itawatafuna milele Chadema.
Wataishi maisha ya kulalamika milele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio chadema tuu kuna kenge zingine za ccm nazo zipoLaaana ya kushangilia 17/3/2021 itawatafuna milele Chadema.
Wataishi maisha ya kulalamika milele.
Hao wanaolalamika ni kina nani? na wanalalamikia nini?Watu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia
Watu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia
Aiseee ukichimama nchale na ukichuchumaa nchale na ukichangaa nchale nchungu ntakuchoma chomo ....Aiseee.
Kweli huwezi kushindana na nyakati.
Sasa hivi unaandika vi-threads vyako havina tofauti na vya Mmawia na johnthebaptist
Duuh! Hapo ndiyo umetoa yote yaliyokuwa katika ubongo wako!Watu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia
Duh...!.Watu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia
Unashindwa kutaja 'a common denominator' - CCM. Sasa sijui unataka mpaka nifafanue ndipo uelewe?Watu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia
EeeenHeeee. CHAWA?Sasa hivi haufahamiki hata unachopigania , yaani umekuwa chawa kamili
Hali hii imemchanganya sana huyu mama. Alitaka ajiondoe kwenye kivuli cha Magufuli harakaharaka, lakini anashangaa kuona jinsi ilivyo ngumu kufanya hivyo.Ubora wa Magufuli unasababisha mapungufu ya Mama Samia yaonekane wazi zaidi.
Watanzania wengi bado wanaishi kwenye kivuli cha Magufuli...
Hao wanaolalamika ni kina nani? na wanalalamikia nini?
Sasa hivi haufahamiki hata unachopigania , yaani umekuwa chawa kamili
17.3.2021 bwana alitenda maajabu yake kuliondosha lile dubwasha hakika nilifurahi sanaWatu walishangilia na kugongeana bia..
Wapo waliocheka kwa sababu sasa wanaaenda kupumua kidogo...
Wapo waliofurahia hela kurudi mitaani aka "mzunguko wa fedha kuongezeka"...
Wapo waliosema "sasa hatufokewi foreign tena" ..na kuwa "nchi ina tabasamu".
Furaha imerejea tena, kicheko kimerudi....
Mara paap!
Wanung'unikaji wameanza tena, wenye kununa wameanza kukereka...hakuna jema mama anaweza kufanya...mama..hafuati njia wanayotaka aifuate... na gwanda la jeshi likawatifua (ntaligusa hili baadaye inshallah).
Kama alivyouliza jamaa mmoja...furaha Imeenda wapi? Kicheko kimepotelea wapi...
#mwachenimama
#mamasalama
#salamasamia
#tanzaniayasamia