Swali Fyatu: Kwani Watanzania Mnataka Umeme Mwingi usiopunjwa ili Mfanye Nini?

Swali Fyatu: Kwani Watanzania Mnataka Umeme Mwingi usiopunjwa ili Mfanye Nini?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Tujitahidi tujibu. Kama nchi ingekuwa inahitaji umeme mwingi usio wa kibaba sidhani hii hali ingeendelea hata kwa mwezi mmoja ukiondoa Mingo sasa.

Kuanzia IPTL hadi leo bado sukuhisho la umeme linatafutwa. Eti wa maji ni mgumu wanatafuta wa jua!!! Halafu wengine wanasema wanataka wa upepo kwa vile wa mafuta ni ghali!

Mjini wanalia umeme visiting wanalia umeme. Kama lengo ni kuona basi si wasubiri mchana? Si kutakucha hata kama kuna making? Au mnataka umeme mwingi ili mfanye mojawapo ya hivi?

  • Muangalie TV msimisi "Juakali"
  • Mjisomee somee
  • Mkodoleane macho vizuri vyumbani (eti gizani havinogi)
  • Vyakula visiharibike (hamjiulizi babu zenu walihifadhi vipi vyakula)
  • Mchaji vi simu janja na komputa mpakato ili msikose TikTok

Mnahitaji umeme mwingi wa nini? Naamini kuna watu wanajua wakiwapa wote kama wao wanavyopata mtadeka na kudekeka. Kuna kundi la watu wanaamini mkiongezewa kile kinachoitwa "umeme wa uhakika" mtawasumbua sana watawala wetu...
Mtakuja na mamiradi na mashughuli....mwisho mtaanza kudai umeme wa nyuklia...!!

Kwa sasa Kinga kikopo, bakuli, ndoo au pipa lako unachiwekewa ndio hichohicho. Kwani mnautaka mwingi wa nini?

Nawatakia sikukuu njema za Krismasi na Mwaka Moya 2024.
 
Hizo ulizo list hapo kwako wewe si matumizi ya umeme au kwako wewe matumizi ya umeme ni nini hasa??
 
Asante kwa Bandiko Mkuu.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
This! Kubaki kua maskini,kua na elimu duni,kuhoji vitu na kushambikia vitu rahisi kama Mpira ni mradi mkubwa wa wanasiasa. Ujinga ni mtaji na ndio hivo wanavotaka,hawataki mpate vyote vya uhakika sababu mtawasumbua. Maskini ukimpa kila kitu au uhuru anakuja msumbufu Bora umuache na umbabaishe na kadhia mbalimbali na furaha kiduchu.
 
Wengi hawatakuelewa namna umewasilisha hoja yako.

Nakubaliana na wewe kimsingi tatizo la umeme halipo kabisa ila tu hao wahuni wachache hapo juu wameamua kuzima umeme kwa makusudi wanayojua wao moja wapo ni hili ukiwepo umeme wa uhakika jamii inaamka kitu ambacho chama lenu chakavu la mambuzi hamtaki kitokee
 
Tujitahidi tujibu. Kama nchi ingekuwa inahitaji umeme mwingi usio wa kibaba sidhani hii hali ingeendelea hata kwa mwezi mmoja ukiondoa Mingo sasa.

Kuanzia IPTL hadi leo bado sukuhisho la umeme linatafutwa. Eti wa maji ni mgumu wanatafuta wa jua!!! Halafu wengine wanasema wanataka wa upepo kwa vile wa mafuta ni ghali!

Mjini wanalia umeme visiting wanalia umeme. Kama lengo ni kuona basi si wasubiri mchana? Si kutakucha hata kama kuna making? Au mnataka umeme mwingi ili mfanye mojawapo ya hivi?

  • Muangalie TV msimisi "Juakali"
  • Mjisomee somee
  • Mkodoleane macho vizuri vyumbani (eti gizani havinogi)
  • Vyakula visiharibike (hamjiulizi babu zenu walihifadhi vipi vyakula)
  • Mchaji vi simu janja na komputa mpakato ili msikose TikTok

Mnahitaji umeme mwingi wa nini? Naamini kuna watu wanajua wakiwapa wote kama wao wanavyopata mtadeka na kudekeka. Kuna kundi la watu wanaamini mkiongezewa kile kinachoitwa "umeme wa uhakika" mtawasumbua sana watawala wetu...
Mtakuja na mamiradi na mashughuli....mwisho mtaanza kudai umeme wa nyuklia...!!

Kwa sasa Kinga kikopo, bakuli, ndoo au pipa lako unachiwekewa ndio hichohicho. Kwani mnautaka mwingi wa nini?

Nawatakia sikukuu njema za Krismasi na Mwaka Moya 2024.

Mwanakijiji unatakiwa uende mbali na hapo. Wkt we unawaza domestic use, kuna watu wana run viwanda, na activity zinazo consume umeme mwingi. Kwa hali hii wasemaje?
 
Tunataka umeme wa kutosha ili tuchaji simu tuingie Jamii Forum tuandike "Swali Fyatu: Kwani Watanzania Mnataka Umeme Mwingi usiopunjwa ili Mfanye Nini?".

Nadhani umetuelewa waTanzania.
 
Niliwahi kukuhusu sana mzee Mwanakijiji,nilikuwa siachi kununua gazeti kwa ajili ya kusoma makala zako za kina Jabir Idrisa kwenye mwanahalisi.
 
Tujitahidi tujibu. Kama nchi ingekuwa inahitaji umeme mwingi usio wa kibaba sidhani hii hali ingeendelea hata kwa mwezi mmoja ukiondoa Mingo sasa.

Kuanzia IPTL hadi leo bado sukuhisho la umeme linatafutwa. Eti wa maji ni mgumu wanatafuta wa jua!!! Halafu wengine wanasema wanataka wa upepo kwa vile wa mafuta ni ghali!

Mjini wanalia umeme visiting wanalia umeme. Kama lengo ni kuona basi si wasubiri mchana? Si kutakucha hata kama kuna making? Au mnataka umeme mwingi ili mfanye mojawapo ya hivi?

  • Muangalie TV msimisi "Juakali"
  • Mjisomee somee
  • Mkodoleane macho vizuri vyumbani (eti gizani havinogi)
  • Vyakula visiharibike (hamjiulizi babu zenu walihifadhi vipi vyakula)
  • Mchaji vi simu janja na komputa mpakato ili msikose TikTok

Mnahitaji umeme mwingi wa nini? Naamini kuna watu wanajua wakiwapa wote kama wao wanavyopata mtadeka na kudekeka. Kuna kundi la watu wanaamini mkiongezewa kile kinachoitwa "umeme wa uhakika" mtawasumbua sana watawala wetu...
Mtakuja na mamiradi na mashughuli....mwisho mtaanza kudai umeme wa nyuklia...!!

Kwa sasa Kinga kikopo, bakuli, ndoo au pipa lako unachiwekewa ndio hichohicho. Kwani mnautaka mwingi wa nini?

Nawatakia sikukuu njema za Krismasi na Mwaka Moya 2024.
Daah
 
Mwanakijiji unatakiwa uende mbali na hapo. Wkt we unawaza domestic use, kuna watu wana run viwanda, na activity zinazo consume umeme mwingi. Kwa hali hii wasemaje?
Pindua juu chini, chini juu ndio uelewe na kumjibu. Just a clue mate!
 
UKIWAULIZA UTASKIA SISI NI WASOMII,SISI NI WASOMII,SASA KWELI KARNE HII UNATEGEMEA MVUA KWA KUZALISHA UMEME KWELI??

THOSE DAYS TUNASHIKANA MASHATI KUHUSU GESI YA MTWARA TULIDHAN MUARAOBAINI WA TATIZO HILI UMESHAPATIKANA,KUMBE NDIYO KWANZA TATIZO LIMEANZA
 
Kwahiyo hujui matumizi ya umeme au umeamua kujitoa akili tu? Bila umeme ungeweza kuandika utumbo wako hapa JF?.
Tujitahidi tujibu. Kama nchi ingekuwa inahitaji umeme mwingi usio wa kibaba sidhani hii hali ingeendelea hata kwa mwezi mmoja ukiondoa Mingo sasa.

Kuanzia IPTL hadi leo bado sukuhisho la umeme linatafutwa. Eti wa maji ni mgumu wanatafuta wa jua!!! Halafu wengine wanasema wanataka wa upepo kwa vile wa mafuta ni ghali!

Mjini wanalia umeme visiting wanalia umeme. Kama lengo ni kuona basi si wasubiri mchana? Si kutakucha hata kama kuna making? Au mnataka umeme mwingi ili mfanye mojawapo ya hivi?

  • Muangalie TV msimisi "Juakali"
  • Mjisomee somee
  • Mkodoleane macho vizuri vyumbani (eti gizani havinogi)
  • Vyakula visiharibike (hamjiulizi babu zenu walihifadhi vipi vyakula)
  • Mchaji vi simu janja na komputa mpakato ili msikose TikTok

Mnahitaji umeme mwingi wa nini? Naamini kuna watu wanajua wakiwapa wote kama wao wanavyopata mtadeka na kudekeka. Kuna kundi la watu wanaamini mkiongezewa kile kinachoitwa "umeme wa uhakika" mtawasumbua sana watawala wetu...
Mtakuja na mamiradi na mashughuli....mwisho mtaanza kudai umeme wa nyuklia...!!

Kwa sasa Kinga kikopo, bakuli, ndoo au pipa lako unachiwekewa ndio hichohicho. Kwani mnautaka mwingi wa nini?

Nawatakia sikukuu njema za Krismasi na Mwaka Moya 2024.
 
Tujitahidi tujibu. Kama nchi ingekuwa inahitaji umeme mwingi usio wa kibaba sidhani hii hali ingeendelea hata kwa mwezi mmoja ukiondoa Mingo sasa.

Kuanzia IPTL hadi leo bado sukuhisho la umeme linatafutwa. Eti wa maji ni mgumu wanatafuta wa jua!!! Halafu wengine wanasema wanataka wa upepo kwa vile wa mafuta ni ghali!

Mjini wanalia umeme visiting wanalia umeme. Kama lengo ni kuona basi si wasubiri mchana? Si kutakucha hata kama kuna making? Au mnataka umeme mwingi ili mfanye mojawapo ya hivi?

  • Muangalie TV msimisi "Juakali"
  • Mjisomee somee
  • Mkodoleane macho vizuri vyumbani (eti gizani havinogi)
  • Vyakula visiharibike (hamjiulizi babu zenu walihifadhi vipi vyakula)
  • Mchaji vi simu janja na komputa mpakato ili msikose TikTok

Mnahitaji umeme mwingi wa nini? Naamini kuna watu wanajua wakiwapa wote kama wao wanavyopata mtadeka na kudekeka. Kuna kundi la watu wanaamini mkiongezewa kile kinachoitwa "umeme wa uhakika" mtawasumbua sana watawala wetu...
Mtakuja na mamiradi na mashughuli....mwisho mtaanza kudai umeme wa nyuklia...!!

Kwa sasa Kinga kikopo, bakuli, ndoo au pipa lako unachiwekewa ndio hichohicho. Kwani mnautaka mwingi wa nini?

Nawatakia sikukuu njema za Krismasi na Mwaka Moya 2024.
Siku ya uchaguzi wa Chipukizi haukukatika. Kwa hiyo wameamua tu tuwe tunakosa umeme sio kwamba hakuna umeme wa kutosha.
 
This! Kubaki kua maskini,kua na elimu duni,kuhoji vitu na kushambikia vitu rahisi kama Mpira ni mradi mkubwa wa wanasiasa. Ujinga ni mtaji na ndio hivo wanavotaka,hawataki mpate vyote vya uhakika sababu mtawasumbua. Maskini ukimpa kila kitu au uhuru anakuja msumbufu Bora umuache na umbabaishe na kadhia mbalimbali na furaha kiduchu.
oooohhh
 
Tujitahidi tujibu. Kama nchi ingekuwa inahitaji umeme mwingi usio wa kibaba sidhani hii hali ingeendelea hata kwa mwezi mmoja ukiondoa Mingo sasa.

Kuanzia IPTL hadi leo bado sukuhisho la umeme linatafutwa. Eti wa maji ni mgumu wanatafuta wa jua!!! Halafu wengine wanasema wanataka wa upepo kwa vile wa mafuta ni ghali!

Mjini wanalia umeme visiting wanalia umeme. Kama lengo ni kuona basi si wasubiri mchana? Si kutakucha hata kama kuna making? Au mnataka umeme mwingi ili mfanye mojawapo ya hivi?

  • Muangalie TV msimisi "Juakali"
  • Mjisomee somee
  • Mkodoleane macho vizuri vyumbani (eti gizani havinogi)
  • Vyakula visiharibike (hamjiulizi babu zenu walihifadhi vipi vyakula)
  • Mchaji vi simu janja na komputa mpakato ili msikose TikTok

Mnahitaji umeme mwingi wa nini? Naamini kuna watu wanajua wakiwapa wote kama wao wanavyopata mtadeka na kudekeka. Kuna kundi la watu wanaamini mkiongezewa kile kinachoitwa "umeme wa uhakika" mtawasumbua sana watawala wetu...
Mtakuja na mamiradi na mashughuli....mwisho mtaanza kudai umeme wa nyuklia...!!

Kwa sasa Kinga kikopo, bakuli, ndoo au pipa lako unachiwekewa ndio hichohicho. Kwani mnautaka mwingi wa nini?

Nawatakia sikukuu njema za Krismasi na Mwaka Moya 2024.
Wenye madaraka wanatumia njia ya kizamani sana ( kutuvuruga kwenye umeme) ili mwakani waanze kutupa ahadi za kumaliza tatizo na sisi kwakuwa Akili zetu si kubwa,tutawaunga mkono!
Watanzania bado hatujafikia kiwango Cha kuhitaji umeme wa uhakika...la sivyo tungeshaelewana na hawa watu.
 
Back
Top Bottom