Swali Fyatu: Kwani Watanzania Mnataka Umeme Mwingi usiopunjwa ili Mfanye Nini?

Swali Fyatu: Kwani Watanzania Mnataka Umeme Mwingi usiopunjwa ili Mfanye Nini?

Tujitahidi tujibu. Kama nchi ingekuwa inahitaji umeme mwingi usio wa kibaba sidhani hii hali ingeendelea hata kwa mwezi mmoja ukiondoa Mingo sasa.

Kuanzia IPTL hadi leo bado sukuhisho la umeme linatafutwa. Eti wa maji ni mgumu wanatafuta wa jua!!! Halafu wengine wanasema wanataka wa upepo kwa vile wa mafuta ni ghali!

Mjini wanalia umeme visiting wanalia umeme. Kama lengo ni kuona basi si wasubiri mchana? Si kutakucha hata kama kuna making? Au mnataka umeme mwingi ili mfanye mojawapo ya hivi?

  • Muangalie TV msimisi "Juakali"
  • Mjisomee somee
  • Mkodoleane macho vizuri vyumbani (eti gizani havinogi)
  • Vyakula visiharibike (hamjiulizi babu zenu walihifadhi vipi vyakula)
  • Mchaji vi simu janja na komputa mpakato ili msikose TikTok

Mnahitaji umeme mwingi wa nini? Naamini kuna watu wanajua wakiwapa wote kama wao wanavyopata mtadeka na kudekeka. Kuna kundi la watu wanaamini mkiongezewa kile kinachoitwa "umeme wa uhakika" mtawasumbua sana watawala wetu...
Mtakuja na mamiradi na mashughuli....mwisho mtaanza kudai umeme wa nyuklia...!!

Kwa sasa Kinga kikopo, bakuli, ndoo au pipa lako unachiwekewa ndio hichohicho. Kwani mnautaka mwingi wa nini?

Nawatakia sikukuu njema za Krismasi na Mwaka Moya 2024.
SGR inakula umeme mwingi tu, nchi ya viwanda na yenye kutaka kufika uchumi wa juu wa kati sio ya kuuliza watu wake wanataka kuufanyia umeme shughuli gani!.

Mkuu amka huko kichwani kwako, bado umelala usingizi mzito sana.
 
Wale jamaa kule walitumia kovidi naintini watu wakapigwa loki dauni ili wao wafanye yao
Labda na hii ni hivyo hivyo
 
Mwanakijiji kama hauna cha kuandika sio lazima kuforce kuandika na kutukwaza kwamba hatuna matumizi ya msingi ya umeme! Rubbish
 
Mwanakijiji kama hauna cha kuandika sio lazima kuforce kuandika na kutukwaza kwamba hatuna matumizi ya msingi ya umeme! Rubbish
Rudia tena kusoma bandiko

Utalielewa kamanisha nini

Ova
 
Tujitahidi tujibu. Kama nchi ingekuwa inahitaji umeme mwingi usio wa kibaba sidhani hii hali ingeendelea hata kwa mwezi mmoja ukiondoa Mingo sasa.

Kuanzia IPTL hadi leo bado sukuhisho la umeme linatafutwa. Eti wa maji ni mgumu wanatafuta wa jua!!! Halafu wengine wanasema wanataka wa upepo kwa vile wa mafuta ni ghali!

Mjini wanalia umeme visiting wanalia umeme. Kama lengo ni kuona basi si wasubiri mchana? Si kutakucha hata kama kuna making? Au mnataka umeme mwingi ili mfanye mojawapo ya hivi?

  • Muangalie TV msimisi "Juakali"
  • Mjisomee somee
  • Mkodoleane macho vizuri vyumbani (eti gizani havinogi)
  • Vyakula visiharibike (hamjiulizi babu zenu walihifadhi vipi vyakula)
  • Mchaji vi simu janja na komputa mpakato ili msikose TikTok

Mnahitaji umeme mwingi wa nini? Naamini kuna watu wanajua wakiwapa wote kama wao wanavyopata mtadeka na kudekeka. Kuna kundi la watu wanaamini mkiongezewa kile kinachoitwa "umeme wa uhakika" mtawasumbua sana watawala wetu...
Mtakuja na mamiradi na mashughuli....mwisho mtaanza kudai umeme wa nyuklia...!!

Kwa sasa Kinga kikopo, bakuli, ndoo au pipa lako unachiwekewa ndio hichohicho. Kwani mnautaka mwingi wa nini?

Nawatakia sikukuu njema za Krismasi na Mwaka Moya 2024.
Tunautaka mwingi tachomee mahindi🤣
 
Watawala wote waliotawala mda mrefu wanawajua wanachi wake,pia watawala wajanja wamekeweza kwenye kuwapumbaza.

Watawala wametembea,wanajua vitu vingi kuhusu nchi na siasa za sehemu mbalimbali. Ujuzi huo unawafanya wawe hodari kwenye kutumia kuawatawala wanachi wa eneo lake.
Watawala wa eneo letu washakua hodari na werevu jinsi ya kuawatawala mwanachi wa kawaida ambao ndio wengi na wapiga kura.
Ndio maana mwanachi wa kawaida kapumbazwa na vitu visivyokua na msingi na vitu vyote vya msingi haongei chochote.
 
Wale jamaa kule walitumia kovidi naintini watu wakapigwa loki dauni ili wao wafanye yao
Labda na hii ni hivyo hivyo
Tulipokuwq boarding siku ukipikwa Wali na nyama kama hauko beneti na viranja hautaona nyama na utabia kukodolea punje za Wali zikiogelea kwenye mchuzi....aliyenacho ataongezewa...
 
Back
Top Bottom