Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 1,302
- 1,939
Kuliko mwendo wa mwanga. 2025 picha lita anza kwa katuni za kutisha saana. Don't try this at home!!!!Mambo yanaenda kasi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuliko mwendo wa mwanga. 2025 picha lita anza kwa katuni za kutisha saana. Don't try this at home!!!!Mambo yanaenda kasi!
Nilipoona tu utangulizi wako nikaliona Kobaz na bichwa lisilo na chogo!!Nakushauri mada zako muhimu uache kutumia neno "fyatu". linafanya mada za msingi zisichukuliwe serious.
Ufisadi wa Magufuli ni mwingi. Hata bunge hili la sasa ambalo ni feki ni ufisadi wake wa mamlaka.
Kuhusu ufisadi wa kifedaha, rejea ripoti za CAG juu ya upigaj mkubwai ktk miradi mikubwa kipindi cha JPM including SGR.
Makamanda tulieniKwamba hatujui tulikuwa tunamkataa dhalimu kwa kipi, na sasa tunamkosoa Samia kwa kipi? Ni wapi ukatili wa dhalimu ni mbadala wa makosa ya Samia sasa?
Kuna tofauti kubwa kati ya mtu dhalimu / msema na mtenda ya kweli. Wahenga walinena Ada ya mja hunena mwungwana ni kitendo. Hiyo ndiyo tofauti yao.Kwamba hatujui tulikuwa tunamkataa dhalimu kwa kipi, na sasa tunamkosoa Samia kwa kipi? Ni wapi ukatili wa dhalimu ni mbadala wa makosa ya Samia sasa?
Bunge lingekuwa feki Samia angalivunja hilo bunge.Ufisadi wa Magufuli ni mwingi. Hata bunge hili la sasa ambalo ni feki
Kwani hujui Samia alikuwa ni msaidizi wa Magufuli?. Wote ni haohaoBunge lingekuwa feki Samia angalivunja hilo bunge.
Magufuli hakuwa fisadi ila alipambana na mafisadi hadi akawadhibiti, ila alipokufa tu mafisadi wakarudi kushika hatamu.
Ni kweli alikuwa msema na mtenda kweli. Hata ile 50m@kijiji mlishaipokea.Kuna tofauti kubwa kati ya mtu dhalimu / msema na mtenda ya kweli. Wahenga walinena Ada ya mja hunena mwungwana ni kitendo. Hiyo ndiyo tofauti yao.
Bila shaka kuna kuupiga mwingi = kubadii gia anganiNi kweli alikuwa msema na mtenda kweli. Hata ile 50m@kijiji mlishaipokea.
Unaweza ukafanya maamuzi na kutokana na ignorance usijue kwamba unafanya maamuzi yanayovunja katiba au sheria za nchi.Huyu mama pale juu ni kituko hakika
unaujua sema nafsi inakusuta.....time will tell.Sikumbuki ufisadi wakati wa JPM (najua nawakera)
Kituko hasa naona hadi aibu kusema nchi tuna raisi wa jamhuriHuyu mama pale juu ni kituko hakika
Mkiambiwa ukweli mnakuwa wakali kama pilipoli hoyo report ya CAG huwa mnayosoma pekee yenu. Ndo maana mleta uzi akatoa tahadhari kwanza maana Alijua mtakerekaNakushauri mada zako muhimu uache kutumia neno "fyatu". linafanya mada za msingi zisichukuliwe serious.
Ufisadi wa Magufuli ni mwingi. Hata bunge hili la sasa ambalo ni feki ni ufisadi wake wa mamlaka.
Kuhusu ufisadi wa kifedaha, rejea ripoti za CAG juu ya upigaj mkubwai ktk miradi mikubwa kipindi cha JPM including SGR.
Sasahivi watu wanapakua kila mtu ale kwa urefu wa kamba akeNa. M. M. Mwanakiji
Kurudi kwa KingMaker RA kwa uwazi, uthubutu na nguvu hii kumeniacha na maswali. Japonica baadhi ya Malibu nayajua laminitis mentioned naogopa hata kuyauliza.
Wakati wa BWM tulishuhudia kutamalaki kwa ufisadi hata mtu akajiuzia Kiwira Ufisadi 1.0
Wakati wa JMK tukashuhudia kukamilika kwa ufisadi.. Ufisadi 2.0
Sikumbuki ufisadi wakati wa JPM (najua nawakera)
Ila sasa duh...
..