Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Nikicheka ntaambiwa nina dharau najifanya najua sana. Nikicheka kimyakimya ntaambiwa nina kiburi. Nikilia ntaambiwa kwani we ndo unauchungu kuliko wengine? Unalia nini sasa kwani hukujua? Nikishika hamsini zangu ntaulizwa kwani hujali?
Hakuna kinachotokea ambacho hakikutabirika au kujulikana, mbona wote mlijua kitatokea. Samia mtamlaumu bure.
Kabudi uko wapi?
Hakuna kinachotokea ambacho hakikutabirika au kujulikana, mbona wote mlijua kitatokea. Samia mtamlaumu bure.
Kabudi uko wapi?